kalimah.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

yzhood – karibu كلمات اغاني

Loading...

yzhood what it do
yoaw yoaw
karibu huku jiji
shika na kiti jiskie fiti
ndio maisha ya jiji
ngoma itachezwa ka kawa
cheza kama wewe
kulewa lazma tulewe
kunywa tu we bwana
mshike mtu naucheze
eeh leo tukeshe
eeh leo tukeshe uuuh

tukanesha
leo ni kesha
pin location
buda boss cheza

tesa, cheza
lewa, lewa ,lewa uuuh

uuuh uuuuh
yeaaai uuuh uuuuh
yeaaai uuuh uuuuh
uuuh uuuuh
zikishika sana sana
kaka yangu cheza
itabidi njaro zangu
njaro zangu upende

zikishika sana sana
kaka yangu cheza
itabidi njaro zangu
njaro zangu upende

naona si tushaendana naona
naona si tushaendana naona naona uuh

karibu huku jiji
shika na kiti jiskie fiti uuuh
ndio maisha ya jiji
zikishika unapanda
zikishika unapanda
zikishika unapanda
panda panda huh
yzhood what it do
yoaw yoaw

lets get on the dance floor
tonight its going down
its how all we go home
lets party tonight
so burst some moves
burst some moves
burst some moves
burst some moves
burst some moves
burst some moves uuuh
tukanesha
leo ni kesha
pin location
buda boss cheza
tesa, cheza
lewa, lewa lewa uuuh

كلمات أغنية عشوائية

اهم الاغاني لهذا الاسبوع

Loading...