kalimah.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

wakadinali – kuna siku youths wataungana كلمات اغاني

Loading...

[intro: domani mkadinali]
uh, uh

[chorus: domani mkadinali]
haina noma, una namna
tuseme “bora uhai,” haina maana
achia noma maulana
life kwenye streets kakiumana
juu kuna siku youths wataungana
kuna siku youths wataungana
haina noma, una namna
wakadinali, wakadinali, mtoto wa mama
haina noma, una namna
tuseme “bora uhai,” haina maana
achia noma maulana
life kwenye streets kakiumana
juu kuna siku youths wataungana
kuna siku youths wataungana
haina noma, una namna
wakadinali, wakadinali, mtoto wa mama

[verse 1: domani mkadinali]
hata uwe mzito na we ni mtiaji, utachujwa
ubesh chege eventually chunga
alitu_accuse cocro, tuna_smell kiplani magunga
ndio tuchokeshe njege, kibronj aliisunda
action na pale na bhang, msanii nimejifichia salasa
tuwachekeshe, kucheki merit, tunaseti kuangukia darasa
kuna watu wa ocha hawawezi ngoja doh mpya iwafikiange faster
2020 hatutaki trouser kuwararukianga rasa
tukivunjwa goti, bila ku_show ka hussein machozi
we si player, bali diva, umekam ku_strike a pose
gta, grand prix, rong rende pia ni kikosi
sky ndae, si wa hamilton, valentino rossi
naiwasha ndani ya ploti bila ku_doze
wao wanawashwa wakiwa juu, huko third floor na hatutemei kikohozi
mi ndio simba nina kovu, so ka we ni swara muja
still we doing flying toilet kwa hizo juala mpya

[chorus: domani mkadinali]
haina noma, una namna
tuseme “bora uhai,” haina maana
achia noma maulana
life kwenye streets kakiumana
juu kuna siku youths wataungana
kuna siku youths wataungana
haina noma, una namna
wakadinali, wakadinali, mtoto wa mama
haina noma, una namna
tuseme “bora uhai,” haina maana
achia noma maulana
life kwenye streets kakiumana
juu kuna siku youths wataungana
kuna siku youths wataungana
haina noma, una namna
wakadinali, wakadinali, mtoto wa mama

[bridge: sir bwoy and scar mkadinali]
wataungana (wataungana, fanya mambo)
sifa zote kwa maulana (r.i.p kwa msando)
niku_ nikukazana (westie to eastlando)
wata_ wataungana (wataungana, fanya mambo)
wata_ wataungana (wataungana, fanya mambo)
sifa zote kwa maulana (r.i.p kwa msando)
niku_ kukazana (westie to eastlando)
wata_ wataungana (for real, mmh, noma sana)

[verse 2: scar mkadinali]
ni ile design nimeji_humble kwako, baba
kila inaumanga, eastlando, hustle nadra
kinagaubaga na_feeli sicker nayo
tangu nianze kukufuata, hii feeling sitasahau
sina makao, ndio maana nimeishi kote
ka sila na paul, milango ziliji_open
casino za tao, mipango zao ni all same
nipate, nikose, nisote mpaka nikope
compe ni shughuli za dunia
kuwa_show wa_confess ni kupuliza gunia
kwa wale wote walo kula ma_scar
hutabaki njaa mpaka siku chura za_fly
jo, madawa, vijana wetu wamepagawa
wasichana wetu, kazi wameshindwa, wanagawa
mambang’a wanachinjwa, wanagwaya
jiji na ma_banner tukishindangwa na gava

[chorus: domani mkadinali]
haina noma, una namna
tuseme “bora uhai,” haina maana
achia noma maulana
life kwenye streets kakiumana
juu kuna siku youths wataungana
kuna siku youths wataungana
haina noma, una namna
wakadinali, mtoto wa mama
haina noma, una namna
tuseme “bora uhai,” haina maana
achia noma maulana
life kwenye streets kakiumana
juu kuna siku youths wataungana
kuna siku youths wataungana
haina noma, una namna
wakadinali, wakadinali, mtoto wa mama

كلمات أغنية عشوائية

اهم الاغاني لهذا الاسبوع

Loading...