kalimah.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

stara thomas – nashindwa كلمات اغاني

Loading...

nashidwa hata kudanganya
moyoni nilivyo kupokea, eh
faraja ulivyo itimiza

hakuna atakayeweza fikia, eh
hakika umeyakamilisha
yale yote niliyo yatafuta, eh
na moyoni nimekukubalia
kwa lolote utakalojisikia, eh
k_mbuka, yale walosema
natuone sasa, kama mwisho utafika
k_mbuka yale walo sema
natuone sasa, kama mwisho utafika

ah yeah, mimi na wewe
tupendane mpaka siku ya mwisho
hadi watu washangae, maama
ah yeah, mimi na wewe
tupendane mpaka siku ya mwisho
hadi watu washangae, maama
ah yeah, mimi na wewe
tupendane mpaka siku ya mwisho
hadi watu washangae, maama

pokea, ninayo kueleza
moyoni, yote uyafikishe, eh
tabasamu, unalo nipatia
hilo ndilo, linalo nifikisha, eh
wabaya, usiwasikilize
w_n_lengo, la kutusambaratisha, eh
na mapenzi, hayana muamana
rekebisha, unapo fikiria, eh
k_mbuka, yale walo sema
natuone sasa kama mwisho utafika
k_mbuka, yale walo sema
natuone sasa kama mwisho utafika

ah yeah, mimi na wewe
tupendane mpaka siku ya mwisho
hadi watu washangae, maama
ah yeah, mimi na wewe
tupendane mpaka siku ya mwisho
hadi watu washangae, maama
ah yeah, mimi na wewe
tupendane mpaka siku ya mwisho
hadi watu washangae, maama

ah yeah, mimi na wewe
tupendane mpaka siku ya mwisho
hadi watu washangae, maama
ah yeah, mimi na wewe
tupendane mpaka siku ya mwisho
hadi watu washangae, maama
ah yeah, mimi na wewe
tupendane mpaka siku ya mwisho
hadi watu washangae, maama

كلمات أغنية عشوائية

اهم الاغاني لهذا الاسبوع

Loading...