kalimah.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

sir lastborn – mifupa mikavu كلمات اغاني

Loading...

intro:
uuuh lastborn lastborn hee eeh mifupa mikavu uwehai tena mifupa mikavu uwehai tena mifupa mikavu nakutabiria mifupa mikavu uwehai tena

verse 1: chicha musiq
kukosa nyama haimanishi hauna maana nikujituma kaka bratha we kazana wanakuchongowa ukipita usiku mchana usije ukaworry anakupenda hivo maulana wakiku diss unafanya? unapambana usiishi reckless yes bana wanakulenga kwa sababu umekonda na na mola anakupenda all over (wanakulenga kwa sababu umekonda na mola anakupenda all over atakulinda ye ndio soldier usife moyo eeh eeh eeh)

chorus;
mifupa mikavu uwehai tena
mifupa mikavu uwehai tena
mifupa mikavu nakutabiria
mifupa mikavu uwehai tena

verse 2; phil kimemia

wakinidiss na duu mi napambana misiishi vireckless yes bana, wakinidiss na duu napambana misiishi vireckless yes bana
da tidagīra mūthenya itarīti
irio ciarī cia hūainīī
garīa kathīri gathii gak_ma
gai dadiganirī īī

chorus;
mifupa mikavu(wouw) uwehai tena(yeey) mifupa mikavu uwehai tena mifupa mikavu nakutabiria
mifupa mikavu uwehai tena

yeeey yee yee mifupa mikavu wuoo ooh eeh
mifupa mikavu uwehai tena mifupa mikavu uwehai
tena mifupa mikavu nakutabiria
mifupa mikavu uwehai tena
mifupa mikavu uwehai tena
mifupa mikavu uwehai tena mifupa mikavu nakutabiria
mifupa mikavu uwehai tena

كلمات أغنية عشوائية

اهم الاغاني لهذا الاسبوع

Loading...