kalimah.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

sina tatizo na mtu – wokovu wa wanadamu كلمات اغاني

Loading...

wokovu wa ulimwengu (wa ulimwengu)
eh we ndugu fikiria (eh kufikiria)
gisi alivyo chukua (chukua maisha ya mwana wa mungu)

hili abari ya wokovu (ya wokovu)
iufikie ulimwengu (ulimwengu)
ziki kupa wamepata (wamepata)
watumishi wake mungu (waku mungu wetu)
hivyo baba mungu wa mbinguni ali andaa ukombozi wetu
(kwa damu yake)
kwa damu yake bwana yesu ambayo yatuweka hubu pamoja na mungu wetu

milele, milele, tukamuone
hile mimi na wewe,
tuitwe wana wa mungu (yesu kajitoa)
siku moja tuone huko (alleluia, milele)

hile mimi na wewe,
tuitwe wana wa mungu (yesu kajitoa)
siku moja kuishi raha

ndugu shika sana (ndugu shika sana)
ndugu shika sana (wokovu wako ndugu)
milizima ufahamu (milizima ufahamu)
samani yake (samani yake)
tena linda sana (tena linda sana)
tena linda sana (wokovu huo ndugu)
lazima uwe, mama (lazima uwe mshindaji)
siku moja (umuone yesu)

wokovu una shangilia kwa furaha halipo uandaa yesu
bwana, siku hiyo, alilia kwa uzuni
wokovu unauzarahulisha, mbele za watu na zele za baba mungu
k_mbuka bwana wetu yesu aliuwana kwa uchungu
(alilia kwa baba) baba yangu kikombe hiki kiniepuke

كلمات أغنية عشوائية

اهم الاغاني لهذا الاسبوع

Loading...