kalimah.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

sauti sol – kuliko jana كلمات اغاني

Loading...

[chorus]
bwana ni mwokozi w_ngu
tena ni kiongozi w_ngu
ananipenda leo kuliko jana
baraka zake hazikwishi
si kama binadamu habadiliki
ananipenda leo kuliko jana
kuliko jana
kuliko jana
yesu nipende leo kuliko jana
kuliko jana
kuliko jana
yesu nipende leo kuliko jana

[verse 1]
nakuomba mungu uwasamehe
w_ngalijua jinsi unavyonipenda mimi wasingenisema
na maadui w_ngu nawaombea maisha marefu
wazidi kuona ukinibariki
ujue binadamu ni watu wa ajabu sana
walimkana yesu mara tatu kabla jogoo kuwika
ujue binadamu ni watu wa ajabu sana
walimsulubisha yesu messiah bila kusita
ooh, na

[chorus]
bwana ni mwokozi w_ngu
tena ni kiongozi w_ngu
ananipenda leo kuliko jana
baraka zake hazikwishi
si kama binadamu habadiliki
ananipenda leo kuliko jana
kuliko jana
kuliko jana
yesu nipende leo kuliko jana
kuliko jana
kuliko jana
yesu nipende leo kuliko jana
[bridge]
wewe ndio nategemea
kufa kupona baba nakutegemea (amen)
chochote kitanikatsia
kuingia mbinguni utaniondolea (ooh_ooh, yeah)
wewe ndio nategemea (amen)
kufa kupona baba nakutegemea (oh_oh)
chochote kitanikatsia
kuingia mbinguni utaniondolea (eh, wewe ndio nategemea)
wewe ndio nategemea
kufa kupona baba nakutegemea (eh, bwana)
chochote kitanikatsia
kuingia mbinguni utaniondolea (eh, maisha yangu yote)
wewe ndio nategemea (kwa nguvu zangu zote)
kufa kupona baba nakutegemea (nakutegemea)
chochote kitanikatsia
kuingia mbinguni utaniondolea (oh_oh_oh_oh)

[chorus]
na bwana ni mwokozi w_ngu
na tena ni mkombozi w_ngu
ananipenda leo kuliko jana
baraka zake hazikwishi
si kama binadamu habadiliki
ananipenda leo kuliko jana
kuliko jana (kuliko jana)
kuliko jana
yesu nipende leo kuliko jana
kuliko jana (kuliko jana)
kuliko jana (kuliko jana)
yesu nipende leo kuliko jana
[outro]
wewe ndio nategemea (wewe)
kufa kupona baba nakutegemea (wewe)
chochote kitanikatsia (uh_huh)
kuingia mbinguni utaniondolea
wewe ndio nategemea (ooh)
kufa kupona baba nakutegemea (nakutegemea)
chochote kitanikatsia
kuingia mbinguni utaniondolea
na bwana ni mwokozi w_ngu (amen)
tena ni mkombozi w_ngu (amen)
ananipenda leo kuliko jana (amen)
baraka zake hazikwishi (amen)
si kama binadamu habadiliki (amen)
ananipenda leo kuliko jana (amen)
kuliko jana
kuliko jana
nipende leo kuliko jana

كلمات أغنية عشوائية

اهم الاغاني لهذا الاسبوع

Loading...