kalimah.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

ruby (tz) – niwaze كلمات اغاني

Loading...

hey
aye ee

《yogo on the beats》

mmh
unasema unanipenda una ngapi? ha!
vile uliniambia unaishi wapi?
pesa huna ‘una magari mangapi?
we yako mapozi ‘sa nikupeleke wapi?
basi imba nisikie pengine utanivutia
cheza kidogo oooh
imba nisikie pengine utanivutia aaah
imba kidogo

hey
acha niwaze (niwaze)
acha nikuf_kirie (niwaze)
acha niwaze (niwaze)
oooh (niwaze)
ni lipi niamue eeh
acha niwaze (niwaze)
acha nikuf_kirie (niwaze)
acha niwaze (niwaze) (niwaze)
ni lipi niamue eeh
kitambo ‘sina mkwanja unajua
yaani kama mgambo gwanda langu sijavua aah
umapepe nishatupa kule kulе
tangu enzi za shule kule
vichеche nishatupa kule kule
…aah

nimekuchagua we ‘uwe w_ngu unisikize
wa milele tafadhali usiniumize

hey
acha niwaze (niwaze)
acha nikuf_kirie (niwaze)
acha niwaze (niwaze)
oooh (niwaze)
acha niwaze (niwaze)
acha nikuf_kirie (niwaze)
acha niwaze (niwaze)
ni lipi niamue eeh
(niwaze)

uuuh, woah, woah
ah ‘mi hata j_po nikikujua jina kw_ngu sawa
ah ‘ila usizidishe ukaja nitoa dinner ntapagawa
mi mwenzako uvumilivu sina, we haya
ntakuganda kama ruba niwe wako chawa …aah
kweli mapenzi nnayo ‘pesa na mali sina
ila ni maisha yapitayo
kesho nitakuwa na jina, ujivunie
wema umepitiliza
mungu kakubariki aisee…
sijaona bae kama we ‘haki ya nani, aisee…

hey
acha niwaze (niwaze)
acha nikuf_kirie (niwaze)
acha niwaze (niwaze)
oooh (niwaze)
acha niwaze (niwaze)
acha nikuf_kirie (niwaze)
acha niwaze (niwaze)
ni lipi niamue eeh
(niwaze)

basi imba nisikie pengine utanivutia
cheza kidogo oooh
imba nisikie pengine utanivutia aaah
imba kidogo

hey

كلمات أغنية عشوائية

اهم الاغاني لهذا الاسبوع

Loading...