kalimah.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

rich mavoko – kaweka كلمات اغاني

Loading...

niwekeze kwako
upendo nikope
nilegeze macho
nilewe hadi kope
mwenzio, mwenzio
nakitazama kioo
beiby no, beiby no
usitamani lishoo
i say(kaweka)
nikizungusha(kaweka)
nikiinuka(kaweka)
kalivyo na mizuka(kaweka)

i say mama yeah(kaweka)
nikibinuka(kaweka)
kanaipukuta(kaweka)
mpaka kwa ukuta(kaweka)
nipeleke hadi boda
ikinasia irudishe lugoba
na maungo yamenoga
iko jasho kama mama unakoga
oya change siba
change siba
nimalize kabisa mazima
bora nipe …nipe…
hadi bashini leo navichuma
ya solo
nipapase kama solo
kwenye chochoro
iweke, tomorrow
i say(kaweka)
nikizungusha(kaweka)
nikiinuka(kawеka)
kalivyo na mizuka(kaweka)
i say mama yeah(kaweka)
nikibinuka(kawеka)
kanaipukuta(kaweka)
mpaka kwa ukuta(kaweka)
irudishe kabisa kwa gamba
iweke kimyani
ifikishe, itoe na maganda
uipe maruani
eeh mzee mk_mbatie, mng’ate
naumk_mbatie datty gote
namkamatie, mkamate
mk_mbatie kotekote
mbali oooh sheriee
gari limezima kona
hadithi uwongo na kweli
ili niweze kupona
asa nikokote mpaka chamange
chutama nione masinema
na, nakula kuku na mtama
uno la paka chongo la kutekenya
yeah(kaweka)
nikizungusha(kaweka)
nikiinuka(kaweka)
kalivyo na mizuka(kaweka)
i say mama yeah(kaweka)
nikibinuka(kaweka)
kanaipukuta(kaweka)
mpaka kwa ukuta(kaweka)

كلمات أغنية عشوائية

اهم الاغاني لهذا الاسبوع

Loading...