kalimah.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

rayvanny – tingisha كلمات اغاني

Loading...

(it’s s2kizzy beiby)

ti! ti! ti! tingisha
ti! ti! ti! tingisha
ti! ti! ti! tingisha
ti! ti! ti! tingisha

yaani kama kiberiti (tingisha!)
tuone kama kuna njiti (tingisha!)
mkono weka kwenye kiti (tingisha!)
chezesha matikiti (tingisha!)

viuno vimekatika na_ti!
masha love anatingish ma_ti (ti ti ti)
vuka kanga dera nitafua sha_ti!
ukilewa nipe katika_ti_ti_ti!

(aah aah aah, aah aah aah)

yaani kama kiberiti (tingisha!)
tuone kama kuna njiti (tingisha!)
mkono weka kwenye kiti (tingisha!)
chezesha matikiti (tingisha!)

(aah aah aah, aah aah aah)
_______
(aah aah aah, aah aah aah)

ti! ti! ti! tingisha
ti! ti! ti! tingisha
ti! ti! ti! tingisha
ti! ti! ti! tingisha

yaani kama kiberiti (tingisha!)
tuone kama kuna njiti (tingisha!)
mkono weka kwenye kiti (tingisha!)
chezesha matikiti (tingisha!)

baikoko mdumange
moshi wa bangi shushia na gambe
kuna watoto chai makande
wazee wa kusafiri busaa kwa mpalange (aiyeyeye)

dada ita wenzako leo ghetto kuna pa_ti!
alafu mimi ndo king mswa_ti_ti_ti!
wakitaka pombe zipo keiva_ti
ali kasusu ipo kwa kaba_ti_ti_ti!

ti! ti! ti! tingisha
ti! ti! ti! tingisha
ti! ti! ti! tingisha
ti! ti! ti! tingisha
yaani kama kiberiti (tingisha!)
tuone kama kuna njiti (tingisha!)
mkono weka kwеnye kiti (tingisha!)
chezesha matikiti (tingisha!)

كلمات أغنية عشوائية

اهم الاغاني لهذا الاسبوع

Loading...