kalimah.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

rapcha – amen remix كلمات اغاني

Loading...

verse 1: {rapcha}

nilipohisi upweke kwenye moyo na mawazo kunichakaza

wanadamu nikawaomba msaada wakanitangaza

nikainua macho kwako, ukaniambia mwanangu nikabidhi shida

ukanifuta chozi nikanyamaza

sina cha kulaumu

neno lako ladumu

nikikuamini una rahisisha nnayoyaona magumu

umenipa muda mrefu wa kujaribu kujirekebisha na kutubu dhambi kabla haujanihuk_mu

kazi za dunia zinafanya nikusahau

na ninasahau kuwa we ndo unae nipa nguvu ya kuzifanya

lakini bado unanipenda sana

ungehesabu makosa yetu hakuna ambaye angebahatika kukuona

kukuamini inabidi

uliruhusu nif_kuzwe kazi ili unipe nzuri zaidi

unajua hamu niliyonayo ya kuiona pepo

nijalie nife kwenye imani ntapofika mwisho

amen

كلمات أغنية عشوائية

اهم الاغاني لهذا الاسبوع

Loading...