rapcha – amen remix كلمات اغاني
Loading...
verse 1: {rapcha}
nilipohisi upweke kwenye moyo na mawazo kunichakaza
wanadamu nikawaomba msaada wakanitangaza
nikainua macho kwako, ukaniambia mwanangu nikabidhi shida
ukanifuta chozi nikanyamaza
sina cha kulaumu
neno lako ladumu
nikikuamini una rahisisha nnayoyaona magumu
umenipa muda mrefu wa kujaribu kujirekebisha na kutubu dhambi kabla haujanihuk_mu
kazi za dunia zinafanya nikusahau
na ninasahau kuwa we ndo unae nipa nguvu ya kuzifanya
lakini bado unanipenda sana
ungehesabu makosa yetu hakuna ambaye angebahatika kukuona
kukuamini inabidi
uliruhusu nif_kuzwe kazi ili unipe nzuri zaidi
unajua hamu niliyonayo ya kuiona pepo
nijalie nife kwenye imani ntapofika mwisho
amen
كلمات أغنية عشوائية
- kea › kea – bass string كلمات اغاني
- ms wisdom › ms wisdom – eeny meeny miny moe كلمات اغاني
- ibrahim tatlises › ibrahim tatlıses – sen olsan içmezmisin كلمات اغاني
- angels airwaves › angels & airwaves – euphoria كلمات اغاني
- helabroke › helabroke – besitos كلمات اغاني
- ve1l › ve1l – still together in my fantasy كلمات اغاني
- sevn › sevn – death wish كلمات اغاني
- michel legrand › michel legrand – dusoleil in jail كلمات اغاني
- dany boy › dany boy – quilmes city كلمات اغاني
- анита цой anita tsoy › анита цой (anita tsoy) – пятый океан (fifth ocean) كلمات اغاني