kalimah.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

rajville – dedi كلمات اغاني

Loading...

huyo n’nani amededi
walai, amededi
huyo n’nani amededi
walai, amededi
na since amededi
ni mimi ndo heavy
huyo n’nani ame dedi dedi dedi
mimi ndo heavy yeah

ey
wanasema im c_cky
napenda ka hater kwa coffin
nakulanga kina sophie
wanajua nani bossy
haikosi, mungu ako nami sina losses
im the only who got endors_m_nt
batebi ninche konye gose
na ni mimi uliza mose
like, die hommie, ndo nifly, hommie
first class si economy
nataka house with a bar hommie
with a chef ananita sir hommie
na ki tesla kama fivе hommie
masai kama saruni
nikule dame kama karun
si unajua god, yani jah rulеs
huyo n’nani amededi
walai, amededi
huyo n’nani amededi
walai, amededi
na since amededi
ni mimi ndo heavy
huyo n’nani ame dedi dedi dedi
mimi ndo heavy yeah
yeah

ey amedose
six feet tumeforce
toka jozi mpaka moshi
sisi ndo kikosi
i be on it
all white in a black funeral
hata ningevaa black demin on
i offend em all, i’m animal
everybody goes,ion want em all
lookie lookie over here n_gga
hakuna kitu mimi nina fear n_gga
cheza fair n_gga, nina fans n_gga
father figure for the fam n_gga
lala poa buda cocolomelon
nimetoboa mimi kuk_mengo
tulikutoa bila hata kunego
ulisumbua, ukaleta maneno

huyo n’nani amededi
walai, amededi
huyo n’nani amededi
walai, amededi
na since amededi
ni mimi ndo heavy
huyo n’nani ame dedi dedi dedi
mimi ndo heavy yeah

huyo n’nani amededi
walai, amededi
huyo n’nani amededi
walai, amededi
na since amededi
ni mimi ndo heavy
huyo n’nani ame dedi dedi dedi
mimi ndo heavy yeah

كلمات أغنية عشوائية

اهم الاغاني لهذا الاسبوع

Loading...