kalimah.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

pilgrim lam – sipendi machocha official audio كلمات اغاني

Loading...

dj bach 1 ( sipendi machocha )

intro _ (000_022)
hook _ (023_046)
verse _ (047_156)
hook _ (157_ 220)
verse _ (221_330)
outro _ (331_342)

( intro )

yeah
pilgrim up
lam on the mic
let’s get it ahah
sipendi machocha
( mazee yaani, chocha haisadii man, inafaa tu tukue wasee real yaani)
uh

( hook )

kama hunipendi basi nishow, hulipi hiyo deni basi nishow, hutaki hiyo form basi nishow uh/
sipendi machocha, sipendi machocha sipendi machocha sipendi machocha uh/
sipendi machocha, sipendi machocha sipendi machocha sipendi machocha ( pilgrim up)/
sipendi machocha, sipendi machocha sipendi machocha sipendi machocha uh/

( verse )

i own the rap game, you other rappers brokers, you be here for the fame, nkama sniper aliwachocha/
about my rap name, niliipata nkiwa ocha, nimechoka na hizo claims, faster fastеr nyi mnaoshwa/
boss mistari endless, nalima versе ni kama me jembe, tena lazima niseme, hizo ma beef zenyu ni friendly/
i mean why can’t n_ggas refine it, muko na class lakini nyi dummies, point ifike nyumbani, either na swa ama kilami/
ok bado ninakanganya, sk!ll ni tight imenibana, trouble zinafuatana, eyes on prize, me napambana/
i am a beast bila hiyo ganja, venye nafix tadhani me plumber, namada beats kujeni matanga/
hizi ma flow badilishanga, kama hizo pads siwezi kublunder, me ntawaserve nikiwaranga/
i got em bars na nimezipanga, i don’t know why they gave me a d plus, hiyo ni chem na sikuandika/
uh right now mimi ndo e_sir, venye na rap walai i’m sicker, sick on the mic get me a doctor/
oh pilgrim up i guess, i take them n_ggas laps no breaks, i beat em up just like a case, your chick saluting like some feds/
you looking up or up to me, they going down like submarine, my time to shine will come until, wonder where a n_gga been/
uh mind is on the money, shorty fine and too organic, what’s the plan you got me running, up and down might think i’m bouncing/
i’m in town i’m busy searching, lost my patience no location, what’s the essence?question, need some time in isolation/
uh

( hook )

kama hunipendi basi nishow, hulipi hiyo deni basi nishow, hutaki hiyo form basi nishow uh/
sipendi machocha, sipendi machocha sipendi machocha sipendi machocha uh/
sipendi machocha, sipendi machocha sipendi machocha sipendi machocha ( pilgrim up)/
sipendi machocha, sipendi machocha sipendi machocha sipendi machocha uh/

( verse )

in this life, wasee most ni kuchochana, ukitokwa na msee real, we sahau kama jana/
ati huwezi make, me napenda hiyo debate, cuz one thing, hao wasee ni fake uh/
nilichange, don’t ask me why, nilichochwa na her friends, k_mbe alikua anataka ndai/
karao wao hudefend, wakishapata hiyo chai, otherwise watakuchocha, mwishowe walaghai/
oh don’t waste my time bro, kah si cash next time though, niko on my marks nikisaka racks, if you won’t help you just go/
ain’t chilled out for money, free lunch ndo gani, kah si mboka tafadhali, siko hapa niko mbali/
na mafans washakubali, drive em crazy kama gari, me huspit nikishift, rap iko mechanic/
i don’t really need n0body, kunishow that me ni mkali, it’s so obvious i’mma run it, 254 to marekani/
ama vipi k!ll it, every time i k!ll it, i got dreams to be a rich n_gga, nshike hizo ma billy, what the f_ck you think i’ll wait n_gga, uko na mafeelings/
you can catch it like a bait n_gga, fell off from the ceiling, i’m a g that’s for real, for the sake of my demeanor/
i’m so choosy f_ck whatever, got me moody no more favors, to me rappers are cadavers uh/
nyi mlichochwa, nyi mlichochwa, nyi mlichochwa

( outro )

raplanet sh_t for life!

كلمات أغنية عشوائية

اهم الاغاني لهذا الاسبوع

Loading...