ndelah – niote كلمات اغاني
ulonifanya niote,njozi niote yanijie yale ya chumbani
kilichofanya uondoke kwenye mabano bado sijajua asilani
eti maskini baby,nimesikia wananong’ona majirani
kw-ngu hukusema lolote,niliona tabasamu k-mbe waning’ong’a kwa moyoni
kama ulijua hatufanani,usingenikubali asilani
ya kw-ngu ukaweka hadharani,tungemaliza wewe na mimi
kama ulijua hatufanani usingenikubali asilanii
ya ndani ukaweka hadharani,tungemaliza wewe na mimi
ungenieleza nilipokoseaa hata magoti ningepiga
ungenieleaza nilipotelezaaa ooh hata machozi ningefutaa
ungenieleza nilipokoseaa baby hata magoti ningepiga
ungenieleaza nilipotelezaaa ooh hata machozi ningefuuuutaa
why why why me me,me nakasoro ganii?
nasikia mimba yangu umetoa,insha allah mola atajalia
mwenye makosa ni mimi nilikuwa,nini mwanangu alikosea?
usiku mchana mi naliaa ooh baby nakuombea dua
shetani gani alikuingiaa? bora mapema ungegunduaa
kama ulijua hatufanani,usingenikubali asilani
ya kw-ngu ukaweka hadharani,tungemaliza wewe na mimi
kama ulijua hatufanani usingenikubali asilaniii
ya kw-ngu ukaweka hadharaniii,tungemaliza wewe na mimi yeeh
ungenieleza nilipokoseaa ooh hata magoti ningepigaa
ungenieleaza nilipoteleza oooh ooh hata machozi ningefutaa
heey
ungenieleza nilipokosea baby yeh hata magoti ningepiga
ungenieleza nilipoteleza baby hata machozi ningefuuuutaaa ooh
heiyeye heiyeee enh,hata magoti nimepigaa aah
hata machozi ningefuuu-uuta
hata machozi ningefutaa
كلمات أغنية عشوائية
- black keys › black keys – your touch كلمات اغاني
- black maria › black maria – a call to arms كلمات اغاني
- black maria › black maria – 11:11 كلمات اغاني
- black maria › black maria – a thief in the ranks (your bike) كلمات اغاني
- black maria › black maria – ash كلمات اغاني
- black maria › black maria – betrayal كلمات اغاني
- black maria › black maria – living expenses كلمات اغاني
- black maria › black maria – fool’s gold كلمات اغاني
- black maria › black maria – lucid كلمات اغاني
- black maria › black maria – nothing comes easy but you كلمات اغاني