kalimah.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

nax melody – unyonge كلمات اغاني

Loading...

#verse
muda mwengine nafsi inahitaji tuliaa
vile hata mwili nao unahitaji pumzikaa
zile stress zakazini mamy we ndio wa kuzitoaa
purukushani za nini honey jua unaniboaa
kutwa kugombana kugombana
matusi kutukana kutukana
purukushani kutwa kucha nzimaa kipenziiii
tushaanza kulogana kulogana
na n_z_ kupasuliana kupasuliana
kuku kuchinjiana chinjianaa
tutauwana bureee
mi nimefunzwa kupenda sio kupigaa(kupiganaa)
nikukuudhi am sorry tuepuke ya ujanaa
mi nimefunzwa kupenda sio kupigaa(kupiganaa)
nikukuudhi am sorry ruepuke ya ujanaa
#chorus
penzi la mnyonge
acha niwe mnyongee
penzi la mnyonge
acha niwe mnyongee

#verse
nikisema nikuache namuachia nanii
nikisema nikutupe bado utabaki moyoni
basi rudi nyumbani kipenzi hasira za ninii
uenda ile mistake stake usijitie ubayanii
hata pombe nitaacha bangi sitovutaa
isije penzi likachachaa mwishow ukanitupaa
hata pombe nitaacha bangi sitovutaa
isije penzi likachachaa mwishow ukanitupaa
mi nimefunzwa kupenda sio kupigaa(kupiganaa)
nikukuudhi am sorry tuepuke ya ujanaa
mi nimеfunzwa kupenda sio kupigaa(kupiganaa)
nikukuudhi am sorry ruepuke ya ujanaa

#chorus
pеnzi la mnyonge
acha niwe mnyongee
penzi la mnyonge
acha niwe mnyongee

كلمات أغنية عشوائية

اهم الاغاني لهذا الاسبوع

Loading...