kalimah.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

nandy – yuda كلمات اغاني

Loading...

(kimambo on the beat)
nimemyosha w_ngu yuda
vyake vitamu najipakulia
kungwi nimefundo
wake ma ex ndo wanaumia

walisema limevunda
sasa jikoni ndo linanukia
ye ndo w_ngu kiti
tena hachoki nikimkalia

na tena siku hizi nanenepa nanawiri
yamenoga mapenzi na yameshamiri
anipa vidogo na vikubwa tamu sio shubiri
nyumbani k_menoga huniponza mwili

ananilete chumbani, nikoleze w_ngu hunnie
tunacheza kibaba mama, kibaba mama
wakienda vitani sisi tuko nyumbani
aniteach inama, inama inama

n_z_waume roho zao
n_z_waume roho zao
n_z_waume roho zao
n_z_waume roho zao
kanipa sikio ananisikiliza
malumbano ndani hana
nimepitisha f_gio na hawezi kuniliza
mashindano ndani hana
nimefundishwa na mama, k_mlea bwana
akitakaga nyama, nampaga na tena

ananilete chumbani, nikoleze w_ngu hunnie
tunacheza kibaba mama, kibaba mama
wakienda vitani sisi tuko nyumbani
aniteach inama, inama inama

n_z_waume roho zao
n_z_waume roho zao
n_z_waume roho zao
n_z_waume roho zao

كلمات أغنية عشوائية

اهم الاغاني لهذا الاسبوع

Loading...