kalimah.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

nadia mukami – wangu كلمات اغاني

Loading...

verse 1
(nadia)
wewe nani, unanipigia simu kama nani
eti niachane mume wako nani
unajua nadia kweli mi ni nani?

(sanaipei)
we ni nani, unampigia simu kama nani eeh
ata utoe vya ndani
atarudi hapa kw_ngu tu nyumbani eeh

(nadia)
anapenda vidogodogo
mwenzako anavimumunya
mwanamke unapenda zogo
tafuta jambo hilo la kufanya

chorus
(nadia)
oh oh ni w_ngu
huyu nasema ni w_ngu
oh oh ni w_ngu
kubali yaishe ni w_ngu

(sanaipei)
oh oh ni w_ngu
huyu nasema ni w_ngu
oh oh ni w_ngu
mwishowe yataisha ni w_ngu
verse 2
(sanaipei)
hivo vimesegi na kuficha simu havinishtui
atachoka nawe, kwengine aende, yule hakagui

(nadia)
kelele ya chura haizui ng’ombe kunywa maji
kw_ngu habanduki
kwako hatoboki
nakwama naye

(sanaipei)
anapenda wife material
mwenzako anakudanganya
mwanamke una kasoro
tafuta jambo hilo la kufanya

chorus
(sanaipei)
oh oh ni w_ngu
huyu unasema ni w_ngu
oh oh ni w_ngu
mwishowe yataisha ni w_ngu

(nadia)
oh oh ni w_ngu
huyu unasema ni w_ngu
oh oh ni w_ngu
kubali yaishe ni w_ngu
bridge
(nadia)
mi sitakoma, koma, koma, koma
mi sitakoma koma koma mama yе

(sanaipei)
ntakukomoa komoa komoa komoa
ntakukomoa komoa komoa msichana we

chorus
(sanaipei)
oh oh ni w_ngu
huyu unasеma ni w_ngu
oh oh no w_ngu
mwishowe yataisha ni w_ngu

(nadia)
oh oh ni w_ngu
huyu unasema ni w_ngu
oh oh ni w_ngu
kubali yaishe ni w_ngu

كلمات أغنية عشوائية

اهم الاغاني لهذا الاسبوع

Loading...