kalimah.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

mwasiti – wao كلمات اغاني

Loading...

unanijua nilivyo,
unanijua nilivyo,
umechukua moyo w_ngu wote mazima kaka we,
umechukua moyo w_ngu wote mazima kaka we,
unanijua nilivyo,
unaanijua kaka wewe nilivyo oh,
lakini wao oh, lakini waowaowaowaowao,
lakini wao oh, lakini waowaowaowaowao,
lakini wao oh, lakini waowaowaowaowao,
lakini wao oh uwoo,
uongo siwezi tena kwako we,
wengine sitamani tena kwingine,
moyo w_ngu, moyo w_ngu wakutaka wewe tuu,
akili yangu, akili yangu yakuwaza wewe tu,
moyo w_ngu kaka wewe, moyo w_ngu wakutaka wewe tuu,
akili yangu, akili yangu yakuwaza tuuoh
lakini wao oh, lakini waowaowaowaowao,
lakini wao oh, lakini waowaowaowaowao,
lakini wao oh, lakini waowaowaowaowao,
lakini wao oh uwoo

كلمات أغنية عشوائية

اهم الاغاني لهذا الاسبوع

Loading...