kalimah.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

mr. lenny – leo كلمات اغاني

Loading...

[intro]
senorita
huyu ni lenny
mamacita
homeboyz ah!
production
huyu ni lenny
musyoka weka hio kick

[chorus]
nasema leo
nitahakikisha
leo
lazima atakuwa w_ngu

nasema leo
nitahakikisha
leo
lazima atakuwa w_ngu

[verse 1]
mara ya kwanza nilipomcheki
kwa kweli ndugu mimi sikuamini
lakini brother mimi sikusleki
nikaamua mi nikajitahidi
muda si muda mi nikainuka
roho juu kama ile ya simba
bila shaka basi nilifika
w_ngu mkono na mimi nikampa

haki ya nani anaua
(ameumbwa kweli akaumbika)
haki ya nani ana sura
(mi sikufichi kweli anapendeza)
nikasema niaje
akasema ni fiti
mambo ni vipi
akasema ni freshi
ole w_ngu huku mimi niliomba tu
kwamba atajipa

[chorus]
nasema leo
nitahakikisha
leo
lazima atakuwa w_ngu

nasema leo
nitahakikisha
leo
lazima atakuwa w_ngu

[verse 2]
mara tu tuliposhajuana
nikatafuta njia za kukatia
nikamwuliza kama ana boyfriend
akanijibu ye hajafanikiwa
nikamwambia dada usijali
chaguo lako kweli limewadia
akanicheki akapiga smilie
siku yangu kweli imewadia

haki ya nani anaua
(ameumbwa kweli akaumbika)
haki ya nani ana sura
(mi sikufichi kweli anapendeza)
nikamwuliza niaje
ungependa kudensi
akasema oh, yes please
simindi kudensi
kufika hapo sasa mimi nikajua
kwamba amejipa

[chorus]
nasema leo
nitahakikisha
leo
lazima atakuwa w_ngu

nasema leo
nitahakikisha
leo
lazima atakuwa w_ngu

[bridge]
nilijaribu bahati yangu one time
nikajaribu bahati yangu two time
nikajaribu bahati yangu three time
na sasa ni w_ngu nasema

nilijaribu bahati yangu one time
nikajaribu bahati yangu two time
nikajaribu bahati yangu three time
na sasa ni w_ngu

sasa yeye ni w_ngu, ni w_ngu
unaona vipi?
sasa yeye ni w_ngu, ni w_ngu
she’s the only one for me

sasa yeye ni w_ngu, ni w_ngu
unaona vipi?
sasa yeye ni w_ngu, ni w_ngu
na mimi siringi

[chorus]
nasema leo
nitahakikisha
leo
lazima atakuwa w_ngu

nasema leo
nitahakikisha
leo
lazima atakuwa w_ngu

[outro]
nakwambia, nakwambia
nakwambia ni w_ngu sasa
nakwambia, nakwambia
nakwambia ni w_ngu sasa
nakwambia, nakwambia (wewe)
nakwambia ni w_ngu sasa
nakwambia nakwambia
nakwambia ni w_ngu sasa

كلمات أغنية عشوائية

اهم الاغاني لهذا الاسبوع

Loading...