marlaw – bembeleza كلمات اغاني
nipesa simu nibembeleze
hey hey h_llo ma
laiti ungekuwa unaniona
vile kila time nakonda nawaza
kama kukupata nitaweza
jinsi gani kukueleza
au mi sijui bembeleza
usinikatae utaniumiza
nakupenda kukutenda sitoweza
kila time nakuangalia usoni ma
sio kamaa nakosa neno kusema
ulivyo ma anafanya kosa kunena
ingawa moyo hautaki kunena tena
wazo kichwani lina beep (kukueleza)
ila vibaya ukinijibu (bembeleza)
nahisi sijui bembeleza
utakataa halafu mi utaniumizaa
kidesign nakuangalia usoni ma
kuna sign za kuita huko machoni ma
kitu fulani umehifadhi huko moyoni ma
unachotaka nianze mikusema
hapa unafanya nijione (nitashinda)
hapa unafanya nitamke (nakupenda)
ilaunacho jibu mdomoni nitofauti nausеmacho machoni
we dada mi unaniumiza
we dada sijamaliza
mbona unakata simu
pleasе usikate ma
hey hey h_llo ma
laiti ungekuwa unaniona
vile kila time nakonda nawaza
kama kukupata nitaweza
jinsi gani kukueleza
au mi sijui kubembeleza
usinikatae utaniumiza
nakupenda kukutenda sitoweza
h_llo ma
laiti ungekuwa unaniona
vile kila time nakonda nawaza
kama kukupata nitaweza
jinsi gani kukueleza
au mi sijui kubembeleza
usinikatae utaniumiza
nakupenda kukutenda sitoweza
kati yetu imetawala rangi ya pinki (pink)
kitu ambacho moyoni siridhikii
nacho kuomba tuwe zaidi ya marafiki
inajionyesha machoni unaafiki
lugha ya macho kwa sasa (nakataa)
tataka tuongee ilitufikie (mwafaka)
oooh aaah, aaah
kwenye party ulikuja umependeza
kwenye traini ukaniomba mi kucheza
tukadance na macho umelegeza
ulinibamba nikaficha kukueleza
unanimaliza
mimi ninakweleza
minakupembeleza
baby please baby girl
vile unatamka
wewe kuona nataka
tuonge ana kwa ana
baby please baby girl
we dada mi unaniumiza
we dada sijamaliza
mbona unakata simu
please usikate ma
hey hey h_llo ma
laiti ungekuwa unaniona
vile kila time nakonda nawaza
kama kukupata nitaweza
jinsi gani kukueleza
au mi sijui kubembeleza
usinikatae utaniumiza
nakupenda kukutenda sitoweza
h_llo ma
laiti ungekuwa unaniona
vile kila time nakonda nawaza
kama kukupata nitaweza
jinsi gani kukueleza
au mi sijui kubembeleza
usinikatae utaniumiza
nakupenda kukutenda sitoweza
hooow (hooow)
sasa kama (kama)
umenielewa mbona
unachelewa sana
nambie nije, nije sasa hivi
umenielewa mbona
unachelewa sana
nambie nije, nije sasa hivi
كلمات أغنية عشوائية
- rko › rko – la chàtaign’ 2.0 كلمات اغاني
- daniel landa › daniel landa – 1938 كلمات اغاني
- az haz › âz & hâz – time كلمات اغاني
- bob seger › bob seger – the sea inside كلمات اغاني
- vials › vials – bff كلمات اغاني
- colin towns › colin towns – room full of tales كلمات اغاني
- tristam › tristam – clearly let it show (vip) [for you] كلمات اغاني
- lil war › lil war – hai smesso (perdendomi) كلمات اغاني
- hot chelle rae › hot chelle rae – i hate la كلمات اغاني
- the sorority › the sorority – west end (yea eh) كلمات اغاني