lava lava – lava lava – teja كلمات اغاني
[verse 1]
hhhmmm
nikutume wapi sasa njiwa
uende unitafutie kipenda roho
hhhmmm
yuuh wapi kama unanisikia
fanya unisaidie usichikoe ohhh
tumia wako ujasiri na machachali
chumvi sukari niwekeeeee
nenda na ufike mbali
ukipata hodari usisubiri nilete
[bridge]
ila sitaki kunguru mimi ehhh
akaiba ndani
kutwa kuzulula mitaaani kula mifupa
asiyojua penzi nini (eeeh)
wala shukurani (eeeh)
chochote anakula hata kile kinachonuka
[chorus]
akanifanya nikawaaaa
teja wa mapenzi
nikawa mimi
teja wa mapenzi
akili ikasinizia ehh
teja wa mapenzi
ohhh masikini
teja wa mapenzi
moyoni ntaumia ehhh
[verse 2]
mama alisema penzi sherehe
si mabomu ya machozi kutwa kulizana
na ujana ukiendekeza starehe
yule mwenye jema penzi utamuona hana maana
mapenzi sio upinzani ule wa simba na yanga
tuishi kama vitani kushikiana mapanga
mapenzi kamari uyapati kwa waganga
nishapiga sana tunguri nikaishia kutanga tanga
ndo maaana
[bridge]
sitaki kunguru mimi ehhh
akaiba ndani
kutwa kuzulula mitaaani kula mifupa
asiyojua penzi nini (eeeh)
wala shukurani (eeeh)
chochote anakula hata kile kinachonuka
كلمات أغنية عشوائية
- church › church – witch hunt كلمات اغاني
- church › church – you’ve got to go كلمات اغاني
- church › church – you’re still beautiful كلمات اغاني
- church › church – youth worshipper كلمات اغاني
- church › church – under the milky way tonight كلمات اغاني
- ciara › ciara – goodies (remix) كلمات اغاني
- ciara › ciara – lookin’ at you كلمات اغاني
- ciara › ciara – bang it up كلمات اغاني
- ciara › ciara – i found myself كلمات اغاني
- ciara › ciara – the evolution of dance (interlude) كلمات اغاني