ksonrap – safari كلمات اغاني
[intro]
ahh ah
ksonrap
you know what i’m sayin’?
safari yangu..
[verse 1: ksonrap]
safari hii hakuna tena kujipakulia minyama;
itakuwa ni roho sitakuwa tena na huu mwili wa nyama;
safari hii nitakuwa peke yangu bila baba wala mama;
safari hii watakaoniaga watakuwa wameshika tama;
safari hii nikiondoka sitorudi tena, nitaenda kimya sito ongea tena;
sio ughaibuni useme nikate passport sio uganda wala kenya;
safari hii sitokuwa nachama cha siasa ccm cuf au chadema;
safari hii sitochelewa nitakapo hitajika nifika tu mapema;
safari hii pua zitaziba sitoenda nikiwa nahema;
safari hii sijui muda wa saa sijui ni asubuhi jioni mchana au machweo jua linazama;
nitakuwa mishemishe town au studio nikiwa nachana;
safari hii haijalishi heavy nimenenepa au nimekonda sana;
safari hii hakuna wakunidai nauli mi ndo dereva mi konda;
safari hii barabara ni nyembamba hakuna traffic wakukagua sijafunga mkanda;
hii safari hakuna wakuzuia sio madaktari wauguzi sio waganga;
safari hii sitokuwa na guitar kama nesta walasitowasikia mkinipigia kinanda;
safari hii daz nundaz wataimba tu kamanda;
safari hii nitawaachia nguo zangu wavae nitaondoka tu na sanda;
safari hii hakuna anaweza tamba hakuna wakujiita mwamba;
كلمات أغنية عشوائية
- playssitude maxima › playssitude maxima – mina mais que perfeita كلمات اغاني
- f292 › f292 – ben 10 كلمات اغاني
- sheyla souza › sheyla souza – trono de glória كلمات اغاني
- delcio tavares › délcio tavares – cantata para dom ramon كلمات اغاني
- os arrais › os arrais – esperança كلمات اغاني
- tangela vieira › tangela vieira – áfrica كلمات اغاني
- the rumjacks › the rumjacks – an irish pub song كلمات اغاني
- joel dossett › joel dossett – lonely race كلمات اغاني
- ogi › ogi – na noite de natal كلمات اغاني
- yunna graciliano › yunna graciliano – aleluia (hallelujah) كلمات اغاني