kizazi sana gang – saka doo كلمات اغاني
verse 1: dantez
am looking for money natafuta pesa life iko funny ndo maana natesa sina haraka ntakuja kalesa, lewa muziki na beat ndo chaser walivouliza niko vipi? nikawajibu kabisa, huku umeshika mavisa kwenda sokoni kusaka mapesa pesa sa nipe ‘hi’ niko fiti nikupe kidole cha rasa, nimerudi inakaa niliondokaga kalesa lesa super hero wa mabinti kusaka mavumba na tas niko zangu kisiwani nakunywa kasupu ka pweza na kasa vile na napenda muziki, takwenda k_muona basata, takwenda na kuku ju kuku ni ndege na kule watu hula bata, am looking for money najua ntapata,tafuta doo sichoki kusaka, mkitaka flow najua ntawapa mkali wa flow najua nko hapa!
chorus:
(am looking for money ( money money)
saka doo ( nasaka hiyo doo)
saka flow ( nasaka hiyo flow)
saka doo( saka hiyo doo)) x 2
(saka saka saka doo
saka saka saka flow
saka saka saka doo
saka saka saka more) x2
verse 2: tala boy classics
saka fuba kila kona, nile bata, nile kuku nile hadi kanga niwapotezee mothеrf_ckers, i don’t care hela n_z_saka,mwanaumе ni effort, stand strong like gecko, jitume kidume kwenu sio kwako jipange na kesho, nimetokea ghetto siishi kwa mikopo, wewe ni wewe huwezi kua mimi so hio ni ndoto, dera bila chupi hiyo n habari za mjini, makini herbal si ya joh makini, akili kichwani muhimu ni kua makini, kitambi bila hela hiyo ni ball, pata hela unukie marash, nikiwa mashash sitaki ma hash, moshi kwa moshi, s_x na socks, am looking for money, nitimize ndotoo, kushoto kulia watoto w_n_lia, no jobs more crime, less jokes
verse 3: armaneh
more flows more doo, top score mi na score, oya vipi ma bro si tupige mchongo, ju 254 ni gamble vita kali ka ya rambo ma n_gger stay humble, michongo piga double, bora kuji pimp boys hakuna pusha ndani, push push for real, go hard ka msee wa line, fake rappers nawak!ll, mission tumeshasign, kama doo tupige deal ukiroba joh am gone
chorus:
(am looking for money ( money money)
saka doo ( nasaka hiyo doo)
saka flow ( nasaka hiyo flow)
saka doo( saka hiyo doo)) x 2
(saka saka saka doo
saka saka saka flow
saka saka saka doo
saka saka saka more) x2
كلمات أغنية عشوائية
- milonair › milonair – ou est ma كلمات اغاني
- unotheactivist › unotheactivist – me now – unotheactivist كلمات اغاني
- starlyte › starlyte – open my eyes كلمات اغاني
- far from oniria › far from oniria – pléyades كلمات اغاني
- the lone ranger › the lone ranger – walk alone كلمات اغاني
- thank jordan › thank jordan – wherever you are كلمات اغاني
- sybyr › sybyr – hate my new shit – sybyr كلمات اغاني
- bandxreek › bandxreek – boom كلمات اغاني
- catastrophi › catastrophi – yung weinstein كلمات اغاني
- pepite › pépite – les bateaux – vaati remix كلمات اغاني