kalimah.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

khaligraph jones – mazishi كلمات اغاني

Loading...

[intro]
wanajua ni mazishi
wanajua ni mazishi
wanajua ni mazishi
wanajua ni mazishi
wanajua ni mazishi
wanajua ni mazishi
wanajua ni mazishi
wanajua ni mazishi

[verse 1]
we started from nothing my n-gg- man who’d ever thought we be h-lla rich (rahhh rahhh)
they said i was hard for the radio cause my rhymes were venomous (get em, get em)
they know am a goon so they running away man it’s like they scared of us (whoo whoo)
we made it we made it we made it my ninja, there is nothing you’re telling us (whoo)
nak-mbuka zile siku nilikua nakula kwa vibanda (vibanda… banda)
ku doze tu kwenye simiti hata sikua na kitanda (nah, nah)
they told me niwache usanii ju apo ni kama na blunder (never never)
but hao ndio as hunisho, manze izo ngoma zinabamba
man i wanna thank the fans (fans)
they told me that hate can never break a man (man)
so all of this talk about this and that azinibabaiashi (never, never)
coz every time they give me a beat wanajua ni mazishi (rahhh rahhh)
manze wanajua ni mazishi (zishi, zishi)
leo nimesema ntabonga so boss hamuninyamazishi (whoo, whoo)
so mpaka ile siku izi ngoma zitashika ka za avicii (get em, get em)
i swear mtajua uyu n-gg- ni nani ju akuna ka sisi (akuna, akuna)

[hook]
nikipiga flow, wanajua ni mazishi
nikishika mic, wanajua ni mazishi
nikipanda stage, wanajua ni mazishi
wanajua ni mazishi, wanajua ni mazishi

wanajua ni mazishi, (wanajua ni mazishi)
si wanajua ni mazishi, (wanajua ni mazishi)
we hujui ni mazishi? (wanajua ni mazishi)
wanajua ni mazishi, (wanajua ni mazishi)

[verse 2]
hawa wathii bado hawanitishi
washatambua me sibahatishi
glory i give it to jehovah nissi (yeaahhh)
kanibariki na hizi maandishi
me huzichora ka tarakilishi
nina mafan yaani mpaka kilifi
hawa marapper ni kama kamisi
wakinicheki si wana go missing (ha)
chini ya maji nika wako fishing
na ka unataka jua mahali naishi
piga malap uko 1960
utapatana na masimba na fisi
so me huwa na kambi
ya wezi na bandi
akina sammy na akina mw-ngi
akina ciku, jose na njambi
aki ya nani, sipati amani
juu kila saa makarao tu na landy
ya kutudandia, they demanding
that we gon die juu si huvuta izo bangi
but izo bangi me sivutangi
me najua koro zimetoka budalangi
vile zina hangy unaeza uliza nani
ah sijui nani, nyinyi ni nani, (mimi ni nani?) mimi ni jones!
me ninangaa, me na paa, me ni star
inafaa mnivalishe taji ya rap juu inakaa
awa bratha wamechapa no wander waukaa tu mabanii

[hook x2]
nikipiga flow, wanajua ni mazishi
nikishika mic, wanajua ni mazishi
nikipanda stage, wanajua ni mazishi
wanajua ni mazishi, wanajua ni mazishi

wanajua ni mazishi, (wanajua ni mazishi)
si wanajua ni mazishi, (wanajua ni mazishi)
we hujui ni mazishi? (wanajua ni mazishi)
wanajua ni mazishi, (wanajua ni mazishi)

[outro]
wanajua ni mazishi
wanajua ni mazishi
wanajua ni mazishi
wanajua…

كلمات أغنية عشوائية

اهم الاغاني لهذا الاسبوع

Loading...