kalimah.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

kerly d – siwawazii كلمات اغاني

Loading...

siwawazii
aaah kajoro
mmmmh mmmh
iwe simanzi na huzuni, furaha namengine
yote ni maisha yangu, nisha zoea
nacho shukuru najiamini, siyawazi ya wengine
chakw_ngu nibora kw_ngu, ndo nicho tegemea
aaah
meli inaelea, na inazama shilingi
aaah dunia, ina mambo mengi
wanakuchekea, ila myoni hawakupendi
yanaumiza ya wa ulimwengu
nataka mjue mwaka huu nime change
aaah sio wakile kipindi
ninawaza kuzishika shilingi
niko bussy na mambo yangu
mmmh, hata marafiki, walo ninafikia
siwawazii tena aaa ah, siwawazii tena, aaah
hata yule ex, alie ni cheat
simuwazii tena aaa ah, simuwazii tena
iyeh aeeh!
aaae siwawazii tena
aaae siwawazii tena
aaae siwawazii tena
aaae siwawazii tena
ooyah weeh!!
siwawazi hata wale mastaa
nilo wapigia simu waka kata
najiamini mwenyewe ni fighter
nita toboaa, aaah
mola nionyeshe pakupita
nisiwadhalau watu nisije jikuta
mana maisha yana badilika
ninajiombea aaaah
baba alisema mwanangu eeeh
chandugu sio chakw_ngu
pambana tafuta vyako
mtunze na mama yako
ila, kuna furaha isio faida
viso halali vinaletaga shida
vishawishi nivingi
jitahidi ushinde
mmmh, hata marafiki, walo ninafikia
siwawazii tena aaa ah, siwawazii tena, aaah
hata yule ex, alie ni cheat
simuwazii tena aaa ah, simuwazii tena
(mwenzenu sikuhizi nimesha jipata)
aaae siwawazii tena
(eeeh niko busy n_z_saka pesa)
aaae siwawazii tena
(mi siwazi
n_z_di kuzichangachanga karata)
aaae siwawazii tena
(eeeh niko biii hiiii )
aaae siwawazii tena
(yiiiii iiih hie hie)

كلمات أغنية عشوائية

اهم الاغاني لهذا الاسبوع

Loading...