jux. – unaniweza كلمات اغاني
abbah
[verse 1: jux]
pindi ukicheka we, mi moyo unanitabasamu
huwa mwenye kujihisi mororo
ila ukilia wee, hata kula nakosa hamu
huwa mwenye kujihisi mdororo
[hook: jux]
ukiwa karibu na mie, najiona bora
lakini ukiwa mbali, baby, baridi linachoma
uwepo wako we na mie, umetia fora
we ndio dakitari, darling, nikitaka kupona
[bridge: jux]
unaniweza weza x4
[verse 2: jux]
sitamani mwingine, wala sidhani ka ataweza kutokea
maana mambo yako moto moto, moto
labda upite ushetani mwingine, maneno ya watu nishazoea i don’t care
kila kukicha choko choko, choko
unavyonipa raha, ndiyo nanepa mie
penzi lako natinga, navimba nabembea
kinachokufaaa, usisite niambie
kwako niko radhi hata zege nibebe, machinga nidadishee
[hook: jux]
ukiwa karibu na mie, najiona bora
lakini ukiwa mbali, baby, baridi linachoma
uwepo wako we na mie, umetia fora
we ndio dakitari, darling, nikitaka kupona
[bridge: jux]
unaniweza weza x4
unaniweza weza, i do it for love
for love
unaniweza weza, i do it for love
for love
unaniweeeza
abbah
كلمات أغنية عشوائية
- nicole fi › nicole (fi) – tuhkan takana كلمات اغاني
- nasty nxus › nasty nxus – play by the rules كلمات اغاني
- the bronx › the bronx – private affair كلمات اغاني
- loyals › loyals – to the top كلمات اغاني
- hikes › hikes – shepherd’s clock كلمات اغاني
- gerry rafferty › gerry rafferty – does he know what he’s taken on كلمات اغاني
- ivy queen › ivy queen – por mí كلمات اغاني
- alxzsa › alxzsa – blow up كلمات اغاني
- mc aese › mc aese – aquí estoy كلمات اغاني
- sheogorath rapper › sheogorath (rapper) – gucci god كلمات اغاني