kalimah.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

jux. – nidhibiti كلمات اغاني

Loading...

verse 1
una hali gani unayefanya moyo w_ngu unadadarika
niko taabani umeniacha dakika mbili tu nishaboreka
umeniweka rehani changu kiwiliwili moyo umeuteka
umeniathiri honey nshaaribika mbaya kwa yako makopa
kama mapenzi kitabu ungekuwa kurasa ya katikati
ukichanwa wewe stori haiendelei
aaaah nakupenda mpaka adhabu baby nahisi kuna hatihati
ukiniacha wewe walahi mimi sitoboi

bridge
honey honey (honey) w_ngu wa ubani bani
mimi ndege wako sa manati ya nini
nakupa ruhusa weeee!

chorus
nidhibiti nidhibiti nidhibiti
nakupa ruksa weee!
nidhibiti nidhibiti nidhibiti

verse 2
ewee baby eweee baby mke w_ngu mume w_ngu
mimi na wee hadi milele
ooooh mbivu ziwe mbichi ni vya kwetu sisi sijali nisharidhia
yayaah
wabaya wanafiki watafute viti wakae kwa kutulia hayaaa
upendo kwetu faradhi umepita tsunaa
rabiii atuhifadhi mpaka kufika chanaa
na mimi kwako ni radhi kufa kuzikana
waambie wavunje n_z_ si tumeshindakana
bridge
honey honey (honey) w_ngu wa ubani bani
mimi ndege wako sa manati ya nini
nakupa ruhusa weeee!

chorus
nidhibiti nidhibiti nidhibiti
nakupa ruksa weee!
nidhibiti nidhibiti nidhibiti2

كلمات أغنية عشوائية

اهم الاغاني لهذا الاسبوع

Loading...