kalimah.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

juma jux – utaniua كلمات اغاني

Loading...

iyeeeeei, iyeeeeeiiye, iyeeeeei

imekua asubuhi
uwanja wa mapenzi moyoni umechaf-ka
nami sitaki
kuf-gia upendo uende

nina jua yangu roho
ni ndogo ni ndogo hasa ikipenda-e
ndio maana ukiwa tofauti baby
unaniumiza ndani ndani (iyee)

bado najiuliza ni kipi sijatimiza
bado najiuliza ni kipi kinakuumiza
bado najiuliza ni kipi mi sijaweza baby
bado najiuliza ni kipi sijatimiza (haaa)
bado najiuliza ni kipi kinakuumiza (haaa)
bado najiuliza ni kipi mi sijaweza baby (haaa)

hey!
utaniua ua (haaaha) hey (haaaha)
my baby utaniua ua (haaaha) hey (haaaha)
ooh utaniua ua (haaaha) hey (haaaha)
ooh baby utaniua ua (haaaha) hey (haaaha)
utaniua ua…

nilijichangachanga ilimradi upendeze (ha)
nikajibanabana ilinisijikweze (ha)
sikutaka kugombana nikupoteze baby
ilimradi niwe na wewe
kibaya zaidi (naumia na upendo wako my love)
ulisema mpaka kifo mama (ha)
tungelizikwa wote, (tungelifa wote)
ila unanikatisha tamaa (ha)
mimi sitaki uende

bado najiuliza ni kipi sijatimiza
bado najiuliza ni kipi kinakuumiza
bado najiuliza ni kipi mi sijaweza baby
bado najiuliza ni kipi sijatimiza (haaa)
bado najiuliza ni kipi kinakuumiza (haaa)
bado najiuliza ni kipi mi sijaweza baby (haaa)

hey!
utaniua ua (haaaha) hey (haaaha)
my baby utaniua ua (haaaha) hey (haaaha)
ooh utaniua ua (haaaha) hey (haaaha)
ooh baby utaniua ua (haaaha) hey (haaaha)
utaniua ua…

(we mama wee) unaniua ua
(we mama wee) unaniua ua
(we mama wee) unaniua ua
(we mama wee) unaniua ua

unaniua ua (haaaha) hey (haaaha)
oh baby unaniua ua (haaaha)
wewe unaniua ua (haaaha) heiyeiye (haaaha)
unaniua ua (haaaha) mh-hei (haaaha)
unaniua ua

you love is the one
you love is the one
you love is the one
i want your love

كلمات أغنية عشوائية

اهم الاغاني لهذا الاسبوع

Loading...