kalimah.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

jovi’al – pita nawe كلمات اغاني

Loading...

pita nawe, pita nawe
wananiita komesha roho wakijigonga
nawapa sabuni ya roho wanapokoga
wanakata sana pake wamedata
mbali nami hawasogei wakishapata
basi sogea nikuelezee
mi mwenzako ni hoi
yule wa kwako we mpoteze ei
kw_ngu mi hatoboi
nitakupa dishi tofauti
utaipenda ladha
nitakuchezesha bila buti
sumak_maku ganda
nitakupa dishi tofauti
utaipenda ladha
nitakuchezesha bila buti
sumaku aaah

akisleki mi napita nawe
akisleki mi napita nawe
akisleki mi napita nawe
pita pita pita
akisleki mi na pita nawe
pita pita pita
akisleki mi napita nawe
songa nikudatishe
songa mi nikulishe lishe
njoo nikupagawishe
wengine uwapishe pishe
penzi lake pamba
upande wa kitanda
w_ngu bado mshamba
hajui kutamba
ipi tui mе nikupe mate eeh
uitafune
kwako nimеjipa
sina ujinga mi
beiiby
nitakupa dishi tofauti
utaipenda ladha
nitakuchezesha bila buti
sumak_maku ganda
nitakupa dishi tofauti
utaipenda ladha
nitakuchezesha bila buti
sumaku aaah
akisleki mi napita nawe
akisleki mi napita nawe
akisleki mi napita nawe
pita pita pita
akisleki mi na pita nawe
pita pita pita
akisleki mi na pita nawe
akisleki mi na pita nawe
nitakupa dishi tofauti
utaipenda ladha
nitakuchezesha bila buti
sumak_maku ganda
nitakupa dishi tofauti
utaipenda ladha
nitakuchezesha bila buti
sumaku aaah

كلمات أغنية عشوائية

اهم الاغاني لهذا الاسبوع

Loading...