kalimah.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

harmonize – sina كلمات اغاني

Loading...

[intro]
wasaaafi
ayooo laizer

[verse 1]
hhhm hhhm
ujana ni maji ya moto
yashaniunguza mi nataketea
niliwakana watoto w-ngeniuguza sikutegemea
na kama dunia tambala langu lishatoboka
sina hata pa kulala nakesha kwa kimboka
wale marafiki niliokula nao
na kunisifu sasa siwaoni
eti sina kiki siendani nao kwa kuwa sina kitu mf-koni

[pre-chorus]
kama pesa nilipata nikadharau hadi wazazi
nikakesha kula bata najisahau
na k-mwaga radhi

[chorus]
ohh sina(ooh yani sina)
ohh sina(wa kunipa imani)
ohh sina(ooooh sina mama)
oooh sina
iyeyeee
ohh sina(hata wa kunifariji)
ohh sina(kunipa moyo niendelee)
oooh sina(oooh sina mama)
ohhh sina
oooiyee

[verse 2]
hhmm
asiyefunzwa na mama hufunzwa na dunia
misemo ya wahenga
family ndugu lawama
sikutaka karibia kw-ngu
nipokee
ponda mali eti kufa kwaja
(heheheeee)
k-mbe nivukako mbali navunja daraja
jua likizama nafsi nanyongea mawazo
nani nimpe lawama
peke yangu naongea hamnazo

[pre-chorus]
kama pesa nilipata nikadharau hadi wazazi
nikakesha kula bata najisahau
napumua karadhi

[chorus]
ohh sina(ooh yani sina)
ohh sina(wa kunipa imani)
ohh sina(ooooh sina)
oooh sina
iyeyeee
ohh sina(hata wa kunifariji)
ohh sina(kunipa moyo niendelee)
oooh sina(oooh sina mama)
ohhh sina
oooiyee

[outro]
pesa pesa
pesa pesa
pesa pesa
pesa pesa
pesa pesa
pesa mfano wa poto (pesa pesa)
zinapepea sare ndo sindano (pesa pesa)
chunga yasije majuto (pesa pesa)
tena tekea igeni mifano

كلمات أغنية عشوائية

اهم الاغاني لهذا الاسبوع

Loading...