kalimah.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

harmonize – dear x كلمات اغاني

Loading...

#intro
inaniumiza ring h_llo

#verse
h_llo dear x, nimepata tetesi
za kwamba unanisema ili nionekane si mwema
pengine unastress maana umekonda mwepesi
kw_ngu ukimya sio ukilema ila nachunga vya kusema
maana niliubeba msalaba ikawa mi ndo mama mi ndo baba
nikachanga tujaze kibaba mbona hausemi
kiume nilishukuru nikapangusa matako nikakuacha uende
ukawe huru, range na duka ni vyako mi nibaki na makende

#pre_chorus
kama ulizani nitafeli unangoja basi uko feli
siku nikilewa nitasema ukweli nchi ilivyogubikwa na matapeli
sina hasira wala kinyongo ila sipendi uongo
vijembe jembe na madongo ukitaka kutrend

#chorus
round hii hainaga (haina kutia huruma) hainaga kutia
hivi ndio niseme nimejipata (hainaga kutia huruma) hainga kutia
maana mbona n_z_di kutakata (haina kutia huruma) hainaga kutia
hainaga haiii haiiii (hainaga kutia huruma) hainga kutia

#verse
ehh peke yangu nisingeweza
nisingeweza kuna kitu mungu kaniongeza, kaniongeza
ona n_z_di kupendaza nina pendaza na nipo bize na fedha
unacheka tukuone ume move on mara unatuonesha vya nguoni
uhaligani uko moyoni sema sema
unacheka tukuone ume move on mara unatuonesha vya nguoni
uhaligani uko moyoni sema sema
#pre_chorus
na kama ulizani nitafeli unangoja basi uko feli
siku nikilewa nitasema ukweli nchi ilivyogubikwa na matapeli
sina hasira wala kinyongo ila sipendi uongo
vijembe jembe na madongo ukitaka kutrend

#chorus
round hii hainaga (haina kutia huruma) hainaga kutia
hivi ndio niseme nimejipata (hainaga kutia huruma) hainga kutia
maana mbona n_z_di kutakata (haina kutia huruma) hainaga kutia
hainaga haiii haiiii (hainaga kutia huruma) hainga kutia

#outro
ring h_llo dear x

كلمات أغنية عشوائية

اهم الاغاني لهذا الاسبوع

Loading...