ghafla – mapema mno كلمات اغاني
chorus
tumezaliwa kwenye dhiki anajua mola tuliyoyapitia ni magumu usiombe
tumejikita kwenye mziki tuikwepe njaa maana tumbo kavu linauma usiombe
tumezungukwa na rafiki ndo wanaochoma tunacheka nao ila wanaomba tusitoke
napiga hatua na kila hatua naubeba mtaa mi na washindi tutatoka tusichoke
verse 1
mapema kusema ni ngumu kutoka ku_shine ni ngumu ku_win
huenda tunakwama ila niamini hatufeli haturudi chini
huenda mnapima mafanikio yetu mpaka tuvae madini
kama hamjui tumepoa mtaani tunafosi tunahesabu ushindi
cash zina flow kwa account
hesabu inaanzia shilingi
kabla hatuja hesabu laki kibubu kiliwekewa ishirini
kitu sitoi ni wakati siku hizi na shine una feel
huwezi amini ni classic navaa mtaa naishi
tuache story ilikuwa ni kwenye msoto na
tulipotoka ilikuwa ni block za udongo na
ukisema studio itabidi nyumbani walale njaa
hatujielezi si mnajua rangi halisi ya mkaa
so i pray,before the fame
lets get paid,lets n_gga shine
kabla sijafa sijaumbika siwezi kufuru jah
siwezi kukukosoa najivunia kuwa sehemu ya mtaa
chorus
tumezaliwa kwenye dhiki anajua mola tuliyoyapitia ni magumu usiombe
tumejikita kwenye mziki tuikwepe njaa maana tumbo kavu linauma usiombe
tumezungukwa na rafiki ndo wanaochoma tunacheka nao ila wanaomba tusitoke
napiga hatua na kila hatua naubeba mtaa mi na washindi tutatoka tusichoke
verse 2
hawakutupenda tukiwa hai tukiondoka mtaona
risala ndefu watatumiss na hawakuona mbona
hawakutu support tukiwa chini tukitoboa mtaona
watajifanya wanatujua waambulie ili followers
tuwaongezee viewers
sio upendo ni biashara ni budda
ni ishu ya muda
ni change location ni park buggati
tukiwa club leta bill nitamaliza
baada ya show andaa pipa andaa visa
hatuna mauzo sitaki video sitaki picha
na ukija ghetto mtoto mkali ni monalisa
kuishi raha mustarehe tulizidisha kukomaa
tuliamka alfajiri hatukupitisha kuomba
hatukuchoka kushukuru ametubariki unaona
tunapotoka hakuna upendo wanakunywa uji wa mgonjwa
jazia maji ilikuwa kauli leo k_maliza sidhani
ninachopata sili peke yangu naenda lia mtaani
chorus
tumezaliwa kwenye dhiki anajua mola tuliyoyapitia ni magumu usiombe
tumejikita kwenye mziki tuikwepe njaa maana tumbo kavu linauma usiombe
tumezungukwa na rafiki ndo wanaochoma tunacheka nao ila wanaomba tusitoke
napiga hatua na kila hatua naubeba mtaa mi na washindi tutatoka tusichoke
كلمات أغنية عشوائية
- guillaume beioo › guillaume béioo – inside كلمات اغاني
- the french tips › the french tips – hella reckless كلمات اغاني
- aaron taos › aaron taos – jingle bell rock كلمات اغاني
- mis suenos son de tu adios › mis sueños son de tu adiós – chatroulette love story كلمات اغاني
- xoureldin › xoureldin – qalbe asbh mozlem | قلبي أصبح مظلوم كلمات اغاني
- dvo rapper › dvo (rapper) – summary كلمات اغاني
- takemearchie › takemearchie. – arthur and the sword in the stone كلمات اغاني
- hal leonard choral › hal leonard choral – the winds of kitty hawk كلمات اغاني
- jnr slice › jnr slice – koussi koussa (north slide freestyle #4) كلمات اغاني
- jezi da j › jezi da j – poisoned pills كلمات اغاني