kalimah.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

enock bella – chukua كلمات اغاني

Loading...

kidawa kaja kwetu nimpe jogoo
namwone huruma bado dogo
hana uzito wakubeba gogo
_n_leta ubishi yani zogo
anawatibua walio lala (lala)
haka katoto kana masihara (hara)
jogoo anakiu week hajala (hajala)
anatania wanyoa viparaa

(bridge)

kidawa kani ng’ang’ania ngania
hadi aende na kuku (hadi aende na kuku)
anaonekana kapaniaa paniaa mbona kaja usiku

(chorus)

chukua ukimuona
chukua papasa hadi kwenye kona
chukua ukimuona
chukua tazama yule aliye nona
chukua ukimuona
chukua inama hadi uvunguni
chukua ukimuona
chukua mpaka mabanda ya uwani
(verse 2)

kidawa hivi unajua kufuga
au unataka tu k_mvuruga
nabibi yako kwakupenda mboga
hatochelewa k_mla na boga
hodari wakuamsha morning (mapema)
wakati bado yuko bandani (akihema)
hajawahi kufumwa ugonii (akadema)
so mchunge wasije k_muibaa

(bridge)

kidawa kani ng’ang’ania ngania
hadi aende na kuku (hadi aende na kuku)
anaonekana kapaniaa paniaa mbona kaja usiku

(chorus)

chukua ukimuona
chukua papasa hadi kwenye kona
chukua ukimuona
chukua tazama yule aliye nona
chukua ukimuona
chukua inama hadi uvunguni
chukua ukimuona
chukua mpaka mabanda ya uwani
(outro)

usije ukafanya vimbw_nga (ukaniletea utotoo ukaniletea)
ukampea mganga
mara kabebwa na kipanga
wakati kafungwa kamba
sitaki utani

(
chorus)
chukua ukimuona
(ukanilеa utotoo ukaniletea) (ukanilea utotoo ukanilеtea )
(ukaniletea utoto ukaniletea )
chukua papasa hadi kwenye kona
chukua ukimuona
chukua tazama yule aliye nona
chukua ukimuona
chukua inama hadi uvunguni
chukua ukimuona
chukua mpaka mabanda ya uwani
chukua

كلمات أغنية عشوائية

اهم الاغاني لهذا الاسبوع

Loading...