kalimah.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

e-sir – saree كلمات اغاني

Loading...

[chorus]
nina mabeshte ndani ya gari (si usaree)
manze, kitu lazima ahanywe (si usaree)
kagomba leo lazima kanase (si usaree)
kachongwe (si usaree)
kabambe (si usaree)
ikishabamba lazima katemwe (si usaree)
kisha lale lazima pakatwe (si usaree)
kitandani, nyumbani, atambae (si usaree)
apandwe (si usaree)
ahanywe (si usaree)

[verse 1]
mi na ndugu zangu
ndani ya gari yangu
mamanzi hamsini, tutafika lini?
guaranteed, leo tunawaingia kusini
chini kwa chini, juu kwa juu
side to side till i see what’s inside
girl, it’s no lie, the way you shake your behind
i’m about to lose my mind
pick up the remote and rewind
to my car, please jump inside
call my friends, i’ll show you where we can hide
in the midst of the pirates
you can have anything you want (saree)
you got it from the back to the front (saree)

[chorus]
nina mabeshte ndani ya gari (si usaree)
manze, kitu lazima ahanywe (si usaree)
kagomba leo lazima kanase (si usaree)
kachongwe (si usaree)
kabambe (si usaree)
ikishabamba lazima katemwe (si usaree)
kisha lale lazima pakatwe (si usaree)
kitandani, nyumbani, atambae (si usaree)
apandwe (si usaree)
ahanywe (si usaree)

[verse 2]
si usaree
kijana amewaangushia tracks kadhaa za kuwasaidia ku-party ni nani?
hajui rap bila e-sir ni kama sigara bila nare, basi
nifungulie njia nipate kutiririka kama beer ya pilsner nipe futi sita nipate kuwaburudisha
hii ni ya kila mdhii amekuwa akingojea flow ya kiswahili
kila mnati tayari kuamka na ku-bounce kidhati
kuingia floor katikati, kugonga wadhii bila kuwaambia samahani “a-la! waleta balaa
i thought you’re my guy, kumbe you’re just another fala”
vipi rafiki? stahili lakini
mabeshte ninaotembea, nao wamechizi
wala samaki na ndizi baada ya tizi
nipe wakati kidogo na utawaona kwa tv
internet sites all over the pc
waki-hang na mamanzi
ijapokuwa wanati wame-dress ka ma-barbie
vinywaji ni barley
si usaree

[chorus]
nina mabeshte ndani ya gari (si usaree)
manze, kitu lazima ahanywe (si usaree)
kagomba leo lazima kanase (si usaree)
kachongwe (si usaree)
kabambe (si usaree)
ikishabamba lazima katemwe (si usaree)
kisha lale lazima pakatwe (si usaree)
kitandani, nyumbani, atambae (si usaree)
apandwe (si usaree)
ahanywe (si usaree)

[bridge]
ili ngoma yangu isibambe
nakuomba lyrics zangu usichanganye
nakuomba hio mic usinipe
unless unataka crowd iwike (si usaree)
shika dada karibu na wewe
chini kwa chini, bila wasiwasi
usimwachilie mpaka ikate
nitahakikisha anawika
ili ngoma yangu isibambe
nakuomba lyrics zangu usichanganye
nakuomba hio mic usinipe
unless unataka crowd iwike (si usaree)
shika dada karibu na wewe
chini kwa chini, bila wasiwasi
usimwachilie mpaka ikate
nitahakikisha anawika

[verse 3]
niaje?
bora kuwa moyo wangu wadunda
lazima kenya nzima ijulikane, zamani (zamani)
nilikuwa nikilipa ma-three south c lakini siku hizi ni mambo nasaree (eh!)
nakwambia inabidi, nani amesema kuwa mnati ni easy?
kila mtu yapenda vila naangusha kiswahili ki-sure, ndio sababu wajua
e to the sizzle ni matatizo
yaangusha rhymes kwa maathiro
kama ni chorus wataka, basi ndio hio
(hio, hio, hio)

[chorus]
nina mabeshte ndani ya gari (si usaree)
manze, kitu lazima ahanywe (si usaree)
kagomba leo lazima kanase (si usaree)
kachongwe (si usaree)
kabambe (si usaree)
ikishabamba lazima katemwe (si usaree)
kisha lale lazima pakatwe (si usaree)
kitandani, nyumbani, atambae (si usaree)
apandwe (si usaree)
ahanywe
nina mabeshte ndani ya gari (si usaree)
manze, kitu lazima ahanywe…

كلمات أغنية عشوائية

اهم الاغاني لهذا الاسبوع

Loading...