kalimah.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

davy kamanzi / dvk – askari ako jaba كلمات اغاني

Loading...

[intro]
(woooo!)
(black hole!)

[chorus: dvk]
ako jaba (heh_heh!)
askari ako jaba (ako jaba!)
alitaka tukashikishe na supper
tukamsho, “maze, tunakata waba”
ako jaba (ako)
askari ako jaba (ako jaba!)
alitoka kupigwa ngeta manyanja (doni!)
akaingia mboka na jicho nyanya
[verse 1: dvk]
ako jaba
askari ako jaba (ako jaba!)
tulikuwa pale kwa akina sandra
tukivuta shash, tukikata waba (ss! ss!)
askari akanyakua kishada
akazimia kindukulu kwa fanta (ala!)
tulimshika tukampiga bare saba
ikabaki sura imefura ka zimanda

[verse 2: bh]
jaba, jaba, jaba, jaba, jaba
askari kaniuliza, “wapi mama?”
k_mbe sianda nimewacha ikiwa rada
nilitoka tu kununua ma_rubber (ha_ha!)
huskimbitii nimekam? (nimekam)
nimejaza gari na madam (na madam)
mbogi mzima, what ah gwan? (what ah gwan?)
na dvk, what da plan?

[chorus: dvk]
ako jaba
askari ako jaba (ako jaba!)
alitaka tukashikishe na supper
tukamsho, “maze, tunakata waba”
ako jaba (ako)
askari ako jaba (ako jaba!)
alitoka kupigwa ngeta manyanja (doni!)
akaingia mboka na jicho nyanya
[verse 3: dvk]
jikoni kunanuka tu ma_pilsner, ma_ciggie
boys hapo ndani wanajitolea kamili
madem wako na figure wamewasili
mmoja anatekwa nje kwa baridi (wueh!)
mwingine alijiweka chobo
alidai kukunywa chali wake solo (ehen)
peng ting alivua kimono
alipiga picha, akaweka group ya jobo (ayayayayaya)

[verse 4: andybolo]
nilivyowasili ni mimi na wawili, heh (hey, hey!)
pesa otas, mamoshi na ma_drinks kizee (hey, hey!)
luku fisa, ngoto tisa
mwengine anaitw_ngwa lisa anani_call maze, uh
lakini huyu askari ako jaba (ako jaba)
anajifanya sana ati ako rada (ako rada)
kitu hajui ni ras amejipanga (amejipanga)
dvk, bh, tunajikata (tunajikata, uh)

[chorus: dvk]
ako jaba
askari ako jaba (ako jaba!)
alitaka tukashikishe na supper
tukamsho, “maze, tunakata waba”
ako jaba (ako)
askari ako jaba (ako jaba!)
alitoka kupigwa ngeta manyanja (doni!)
akaingia mboka na jicho nyanya
[outro: dvk]
askari ako jaba
alipatana na manzi wa kahawa
akamsho, “wacha nikuchoree saba”
lakini miti ikakataa kusimama (heh_heh!)
akaenda kunywa dawa ya moshatha
next thing, amelala kwa kibanda
alidhani atamumunya kahaga
k_mbe dem alimsanya ngiri saba (woooo!)
(black hole!)

كلمات أغنية عشوائية

اهم الاغاني لهذا الاسبوع

Loading...