kalimah.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

davie karr – samahani كلمات اغاني

Loading...

hizi manywele sijazichana zinafanana na dredi
madigaga juu ya macho nyanya nilipitia kwa pedi
kudunga vile nataka kila siku kama weekendi
utanipata na goro juu masilver huw-nga sipendi
msupa wako mimi napita naye
nikitema kiswahili napiga miti hadi baadaye
hapo kwa kiti hapo kwa ndai
nazama fiti kama nyambizi mpaka victoria anatokwa na the nile
ka sikujui, sikutambui
hawa mafisi wanafikiri wanaweza kimbizana na chui
wacha watry ka injera
ule mbaya – call me della
kama ni vela mimi huvuta tonnes, utadhani trailer
wira ni wira, mimi nafanya muziki
ukinihalla simu sishiki ka si kuhusu kupata shilingi
dame akiringa, p-ssy ni nyingi
ka huamini shika madigits ukaulize my n-gga kanyingi

kama unadhani mi najali, samahani woi

كلمات أغنية عشوائية

اهم الاغاني لهذا الاسبوع

Loading...