kalimah.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

daroon – ubani كلمات اغاني

Loading...

daroon

ubani ubani ubani
ubani ubani ubani
ubaanii wa ubani ubani ubani ubani

noooooh

nakupenda kwel si utani
kutoka moyoni weeh ndo w_ngu tabibu
sina roho ya shetwani kukuweka motoni
kwanza spendi upate tabuu

walisema mengi eti mimi sifai kuwa naweee
yeeeeh
kisa sina shiringi wakuteke tuu wawe nawe

ila mungu ni mkubwa sana
kabariki penzi mpaka tunapendana
naona hii ni kama karama
hatuachani mpaka kesho milele kiama

aaaah

maidia sweet niamni kamwe sitokusariti
oooh nooh yeeh
uchafu nishadiliti nataka kuona penzi linakua fiti
oooh nooh
ubani ubani w_ngu wa ubani
ubani ubani w_ngu wa ubani
uba uba ubani w_ngu wa ubani
uba uba ubani w_ngu wa ubani

nnoooo noooooh
nooooo ooooooh

ooh kimwali mi nakupenda, ukiniacha mbali minitakondaaa
wahalali mi nishasalenda
kwa penzi tamu tamu kwako nalipendaaa

usiniuk_mu usinilaumu kwa penzi lako ushanipa sumu
njoo unipe tamu penzi lidumu
maana wewe kw_ngu ni adhwimu

my dear sweet niamini kamwe sitokusariti
oooh nooh yeeh
uchafu nisha delete
nataka kuona penzi linakua fiti
oooh nooh

ubani ubani w_ngu wa ubani
ubani ubani w_ngu wa ubani
uba uba ubani w_ngu wa ubani
uba uba ubani w_ngu wa ubani
w_ngu wa ubani
ubani ubani ubani ubaaniii

daroon
totoz nation

كلمات أغنية عشوائية

اهم الاغاني لهذا الاسبوع

Loading...