kalimah.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

daddy cham – kariakoo كلمات اغاني

Loading...

chorus
karia! karia! karia
kariakoo!!
karia! karia! karia! karia! karia! karia!
kariakoo!! ×2

verse 1
be humble huku watu hawakurupuki
allikuja kununua suti chaajabu kauziwa chupi
(kariakoo!!)
hii ni laki o.g bei haishuki kanunua simu kufika nyumbani kufungua k_mbe biskuti
(kariakoo!!)

kariakoo ni ndo chama la masela (kariakoo)
mpera mpera macho kwenye hela (kariakoo)
hewani inapepea kwa bendera (kariakoo)
imeppeleka wengi huko jera (kariakoo)

chorus
karia! karia! karia
kariakoo!!
karia! karia! karia! karia! karia! karia!
kariakoo!! ×2

verse 2
maajabu nimeona mpaka nkashtuka mizigo ya kubebwa na lori huku inasuk_mwa kwenye gutakariakoo)
mungu w_ngu hivi sasa ndio nasanuka sina simu wala sina wallet na kibaka muda kasharuka
kariakoo mishe mishe tunafight na misoto
jichanganye kichwa kichwa uziwee tuh midosho
dream chasers hatuchoki huku kukimbiza ndoto
simba _yanga derby letu huku linawasha moto ×2

chorus
karia! karia! karia
kariakoo!!
karia! karia! karia! karia! karia! karia!
kariakoo!! ×2

كلمات أغنية عشوائية

اهم الاغاني لهذا الاسبوع

Loading...