cherry (tz) – nimekubali كلمات اغاني
Loading...
[verse 1 ]
kila nikifumba macho
naona taswira yako
hata sauti haijanitoka aah
kila kona niendako
nahisi uwepo wako ooooh
mpaka harufu yako inanitesa aaah
bado nawaza aah, ama ni ndoto ya mchana
hivi mazima umekwenda
hautarudi, unanitaniaa
kwanini umekuwa katili
uliahidi tutabaki wawili
furaha umeizima,mood yote umekata
siwezi ficha umeniweza miee
hivi kwanini umekua katili
unanitesa nakonda mwili
kurasa umegeuza,mwendelezo umechana
sina cha kufanya
nabaki kulia
[chorus]
(uuh uuuhh uuhhh uuuhh)
nimekubalii,umeamua kunitoa machozi
nimekubali, furaha yangu igeuke majonzi
nimekubalii iiih, umeamua kuniachia simanzi
nimekubali, hata nikikataa nitafanya nini
uuuuh, uuuuuh, uuuuuh, uuuuuuhh
كلمات أغنية عشوائية
- yt › yt – bounce out كلمات اغاني
- unleashanemahit › unleashanemahit – ‘o bbì كلمات اغاني
- pahan san › pahan-san – стихи (poems) كلمات اغاني
- رامي صبري › رامي صبري – mahabetsh | ماحبتش – ramy sabry كلمات اغاني
- costa fra › costa (fra) – ratures كلمات اغاني
- brandon shere › brandon shere – this hour كلمات اغاني
- chrxmediamonds › chrxmediamonds – runnin’ 4 president (bonus) كلمات اغاني
- sheder lister › sheder & lister – crush كلمات اغاني
- dave east › dave east – like a rose كلمات اغاني
- soom t › soom t – survivor كلمات اغاني