kalimah.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

chalizee – tena كلمات اغاني

Loading...

intro
eeeeleleleleleaaah!!
chalizee tena tena tena tena

verse 1
twendee tukiinama twendee tukiinuka aah
kushoto kulia tumcheze wote
kama kangaru nitaruka ruka
kama tausi nitaringa ringa
kama fundi ukanijenga jenga aaeh
kwa wema umenieza
kama kangaru nitaruka ruka
kama tausi nitaringa ringa
kama fundi ukanijenga jenga aaeh
kwa wema umenieza

chorus
[ningurumishe nikuone tena
nishike nikuhisi tena
aaaah tena
tena na tena aaah tena] x2

verse 2
moyo w_ngu wee tulia
kwake yesu mi na hisia
kwa mapenzi na aminia eeeh
naaminia
[tumshangalie wote
tumfurahie wote
tumsujudu wote
kwa yesu raha] x2

chorus
[ningurumishe nikuone tena
nishike nikuhisi tena
aaaah tena
tena na tena aaah tena] x2

verse 3
tena,tena
aaah tena aahtena
tena, tena aah tena

chorus
[ningurumishe nikuone tena
nishike nikuhisi tena
aaaah tena
tena na tena aaah tena] x2
aaaaaaa aaaaaaha

outro
[beats]

end

كلمات أغنية عشوائية

اهم الاغاني لهذا الاسبوع

Loading...