kalimah.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

bizzy anapipo – forever كلمات اغاني

Loading...

hahaha
with my n_gga kd on the beat
kk kay dee
yeah type of sh_t you can bang even in church
you feel me
hahaha
raah!
ilikuwa kama accident, accident vile nilivyomuona
it made me feel super confident nilipomuuliza kama hana bwana
wote aliokuwa nao walimkana
wote aliokuwa nao wamemtukana
mchana mchana ndo walimkana
but that was a long time ago
leo wanajileta wanaambiwa go
ataki story zenu go
ashampata ninaye mfaa
ananiambiaga kila saa
anachotaka ni

(forever naweza nikapenda niwe mi na wewe
that’s forever)
[forever
sunataka uwe na mimi forever
forever
yeah
ananipenda kweli that’s true
asipo niona alali that too
ndo inanifanya ni feel k_mpenda kweli for real
kichwani kwake ninaishi ananiwaza kila saa
sishangai wala ainistushi anavyo bwaga ma star
nimeamuwa kuacha ubishi nyuma nilikuwa ni kikataa
na ndo maana anataka nijue kama

(forever naweza nikapenda niwe mi na wewe
that’s forever)
[forever
sunataka uwe na mimi forever
forever

yooh waliomuacha wanajutia
mipira hospitalini wanapumulia
wengine bado wanamtext
bado wana mtext text ata mara mia
wanampigia wanamlilia
wanamuitaji naye hana nia
ilo nafaam
so na chill natabasam
kwasababu najua

(forever naweza nikapenda niwe mi na wewe
that’s forever)
[forever
sunataka uwe na mimi forever
forever

and then i usually tell her this
ambia ma ex wako (wako!)
ushaionja tumbako (tumbako!)
ulio onja na ikabaki ndani mwako
pia akilini mwako
pia moyoni mwako
nime stuck sibanduki ni simako
nibandue nikuachie moyo wako
haha

كلمات أغنية عشوائية

اهم الاغاني لهذا الاسبوع

Loading...