kalimah.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

bien-aimé baraza – inauma كلمات اغاني

Loading...

[verse 1]
kukosana na wewe, sikutarajia
kuwa mbali na wewe, aki umeniacha pabaya
kutengana na wewe, imenibadilisha sana
nimetamani nilewe, aki nakunywa nasazamana

[pre_chorus]
naambia nini watu regina?
haya mapenzi yalinoga

[verse 2]
nak_mbuka tulipeana majina
leo baby, kesho tomato
mitandao ikaleta vitina
ukawa huambiliki
nami kichwa changu na kikavimba
nikawasisemezeki
[chorus]
inauma inauma lakini n’tazoea
inauma inauma lakini n’tazoea
hali ya mwanaume duniani nikuzoea
hali ya binadamu duniani nikuzoea, ndio nashindwa

[instrumental break]

[verse 3]
densi oh densi, densi tulikamata hadi usiku wa manane, ayy
kesi oh kesi, kesi tukakubali tutapendana milele
nyimbo nyimbo, nyimbo tulizopenda zanik_mbushanga wewe
kamisi oh kamisi, kamisi na baika uliwacha n_n_sanga ndio nilale
oh yoyo

[pre_chorus]
nitaambia nini watu regina
haya mapenzi yalinoga

[verse 4]
nak_mbuka tukilabata na bia
party aftеr party
shetani gani alituingilia?
akatuweka asander
ilovito pahali imеnifikisha
i’ll never love another
[chorus]
like, inauma inauma lakini n’tazoea
inauma inauma lakini n’tazoea
hali ya binadamu duniani nikuzoea
hali ya mwanaume duniani nikuzoea, ndio nashindwa
inauma inauma lakini n’tazoea
inauma inauma lakini n’tazoea
hali ya binadamu duniani nikuzoea
hali ya mwanaume duniani nikuzoea, ndio nashindwa

[instrumental outro]

كلمات أغنية عشوائية

اهم الاغاني لهذا الاسبوع

Loading...