kalimah.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

barnaba – nampenda كلمات اغاني

Loading...

oooh oooh
shida iko moja bado nampenda
k_muacha sidhani ntaweza
chapisheni magazeti gari
limefunga break kwake
kama ni mechi nampa joleva
mechi zote kwake nishacheza
slishwi wali mbichi nalishwa mpaka vya ndichi
mizigo abebe punda
si kubebeshana huwaga si rahisi
gari la mahaba twachunga
hawakosekani mafisi
mashaallah huba w_ngu limenikolea
siambiwi sisikii penzi lake
pombe nimelewa
jamani limetoshelea
hakuna sp_ce ya kuchiti sp_ce ya usaliti
ukituona wawili tumedumu
ujue basi nampenda
mishale ni mingi haikuwa rahisi namoenda
nishawahi k_muacha ashawahi niacha ila
ananipenda
na tukirudiana penzi kama jipya
ananipenda
aaaah aaah
kazi kutukana
mitandaoni na mabando ya kukopa
kujifanya na mnatujua
kuliko wale waliotuzaa
tulikotoka
ooh mopao kawa mohamed
kisa mapenzi
kabadili dini
kipi cha kushangaza maisha yetu
yanawahusu nini
kama mungu tunayemuabudu
sote ni mmoja iwe pepo iwe motoji
sote njia yetu ni moja
walahi maneno yao yangekuwa mimba tayari
matumbo yetu
yangevimba bibi
k_mridhisha mwanadam kazi
mizigo abebe punda
si kubebeshana huwaga si rahisi
gari la mahaba twachunga
hawakosekani mafisi
mashaallah huba w_ngu limenikolea
siambiwi sisikii penzi lake
pombe nimelewa
jamani limetoshelea
hakuna sp_ce ya kuchiti sp_ce ya usaliti
ukituona wawili tumedumu
ujue basi nampenda
mishale ni mingi haikuwa rahisi namoenda
nishawahi k_muacha ashawahi niacha ila
ananipenda
na tukirudiana penzi kama jipya
ananipenda

كلمات أغنية عشوائية

اهم الاغاني لهذا الاسبوع

Loading...