kalimah.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

anyasi ekhuya – unisikie bwana كلمات اغاني

Loading...

ewe bwana niongoze
katika safari yangu
usiniache kwa yule mwovu

nifundishe kutembea katika njia yako

(nipitapo nyikani
usiniache kamwe
nisife moyo
kwenye bonde la kivuli cha kifo
uwe mlinzi w_ngu)

ewe bwana uniongoze
niende kwa mwendo wa imani
nikijua wewe ndiwe yote kw_ngu
na maisha yangu ni yako

(ninakutegemea wewe)
ninakutumaini wewe
(ninakusifu wewe)
ee bwana (wewe ndiwe mungu w_ngu)

(nipitapo nyikani
usiniache kamwe
nisife moyo
kwenye bonde la kivuli cha kifo
uwe mlinzi w_ngu)

ewe bwana niongoze
nipate kufika kwa wokovu wako
nijue wewe ndiwe njia
na maisha yangu ni yako

ninakutegemea wewe
(ninakutumaini wewe)
ninakusifu wewe
(wewe bwana wewe ndiwe mungu w_ngu)

ewe bwana niongoze
(nipate kufika kwa wokovu wako
nijue wewe ndiwe njia
na maisha yangu ni yako)

كلمات أغنية عشوائية

اهم الاغاني لهذا الاسبوع

Loading...