abbah & jux – antonia (feat. harmonize) كلمات اغاني
antonia, antonia
(sound by abbah)
antonia, antonia
ningalikuwa na uwezo ningekujengea nyumba
na kukununulia gari, gari la upendo
ama nipulize kitezo, nikurogezee dumba
w_nga wakupikie mbali, unizidishie pendo
maana mapenzi kidonda
hata nikipona litabaki kovu
sitaki mawazo kukonda
kesho nikikuona nianze toa povu
maana moyo unaona vya ndani
ambavyo hata macho yahawezi kutazama
hivi ni kweli utakuwa nami
leo na kesho mtondogoo kiama?
will you be my wife? antonia
angu ni nyako nakupenda sana (antonia)
will you be my wife? antonia
will you be my wife? antonia
(eeeh will you be my wife?)
wanasemaga hasara roho pesa makaratasi
majumba na magari yao, wengine hata ni ya miradi
baby wasiwasi ndo akili sio kama natabiri
hio sio moja, sio wa pili, hivi ni kweli utasubiri?
maana mapenzi kidonda
hata nikipona litabaki kovu
sitaki mawazo kukonda
kesho nikikuona nianze toa povu
maana moyo unaona vya ndani
ambavyo hata macho yahawezi kutazama
hivi ni kweli utakuwa nami
leo na kesho mtondogoo kiama?
will you be my wife? antonia
angu ni nyako nakupenda sana (antonia)
will you be my wife? antonia
will you be my wife? antonia
abbah your sound so crazy
konde boy jeshi
yeah yeah
(sounds by abbah)
mixed by simon
كلمات أغنية عشوائية
- charlie black › charlie black – bubble كلمات اغاني
- mikkey halsted › mikkey halsted – dope boy city كلمات اغاني
- armel › armel – headline كلمات اغاني
- d lo › d lo – you played me كلمات اغاني
- kiprich › kiprich – baby song كلمات اغاني
- frank n dank › frank n dank – nice 2 meet u كلمات اغاني
- wayne static › wayne static – assassins of youth كلمات اغاني
- da ruckus › da ruckus – 150 mc’s كلمات اغاني
- jay park › jay park – tonight كلمات اغاني
- cold world › cold world – cold world كلمات اغاني