![kalimah.top](https://kalimah.top/extra/logo.png)
zuchu - shangilia lyrics
ayolizer
kibe, kibe (kibee)
kibe ni mshindi mwingine (kibee)
kibe kutoka ccm chama
sio chama kingine (kibee)
kibee kibee (hee! kibee)
ameshinda mwingine
kutoka chama kubwa chama
sio chama kingine
oooh! wazanzibar (shangilia shangilia)
hussein mwinyi (rais kashachangulia)
kwa hii hali yetu
aendeleze ilani ya chama
zanzibar yetu
ye kaja kuinyanyua
hussein mwinyi
mikono salama
ye ataendeleza mazuri yake sheni
utawala bora
utawala bora uchumi na amani
kwa bashasha
natamka hussein mwinyi rais w_ngu
sijalazimishwa, sijashurutishwa
nimemchagua kwa kura yangu
oooh! wazanzibar
(shangilia shangilia)
hussein mwinyi
(rais kashachangulia)
mchapa kazi mzalendo
mlinzi wa muungano wetu
wanamapinduzi yetu
hongera rais wetu
rais nani? rais nani?
ni hussein mwinyi
hatoki ikulu
mpaka miaka k_mi
eeeh! zanzinbar daima mbele
kwa bashasha (kwa furaha)
natamka (natamka mimi)
hussein mwinyi rais w_ngu
eeh! hongera rais w_ngu
sijalazimishwa, sijashurutishwa
nimemchagua kwa kura yangu
oooh! wazanzibar
(shangilia shangilia)
hussein mwinyi
(rais kashachangulia)
كلمات أغنية عشوائية
- the killers - fire in bone lyrics
- dxpe96 - shushi-man lyrics
- lara di lara - hayvanlar alemi lyrics
- ellen loo 盧凱彤 - 如果還有時間 (grow young) lyrics
- yaboiblaze - ambitious booty lyrics
- bluud brothers - nectophilia lyrics
- young dolph - my real life lyrics
- cash - make ends meet lyrics
- slimka - sall lyrics
- jordyn jones - blind lyrics