kalimah.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

zuchu - fire lyrics

Loading...

[intro]
(ayo, trone)
(ayo, lizer)

[verse 1]
baby, baby
mi’ na we’ in a thousand lifetimes
baby, baby
mi’ na we’ in a hundred ways
baby, baby
mi’ na we’ in a thousand lifetimes
baby, baby
mi’ na we’ in a hundred ways, yeah, eh, eh
oh, la_la_la, mwenzenu nakuwa chizi
mambo tunayopeana, tunayopeana
ah, salala, k_mbe mapenzi ndo’ hivi
oh, maana naona nampendelea sana

[pre_chorus]
akisikia joto (la_la_la), namuogesha (la_la_la)
namlaza mapajani (la_la_la), napepea vizuri
namrudisha utoto (la_la_la), namnyonyesha (la_la_la)
mkubwa ni kwenu nyinyi (la_la_la), kw_ngu hana kauli

[chorus]
kwa mapenzi moto, moto
fire_fire, fire_fire, eh (oh_oh)
fire_fire, fire_fire, eh (we ndo fire)
fire_fire, fire_fire, eh
my baby keep it burning
fire_fire, fire_fire, eh (oh_oh)
fire_fire, fire_fire, eh (we ndo fire)
fire_fire, fire_fire, eh
[verse 2]
oh, nisiongope, visifasifa nimevizidisha
mizungu yote as’oijua nimemfundisha
ahsubuhi sangara tope, jioni samaki papa namlisha
shobo zenu nyote, mie ndo’ ndivu liwezi katisha
kidege wafikishie salamu (oh, salamu)
vigwegwe vya dar_es_salaam (eh, salaam)
wambie nilizinguka sana oops (ooh_ah)
mashariki mpaka kusi’ (ooh_ah)
nikakutana na wazushi (ooh_ah)
walioniumiza
mola kanitunuku papuchi (ooh_ah)
mwana fundi bin nuks (ooh_ah)
penzi kaeka bando, kifurushi (ooh_ah)
na hatutomaliza
oh nisijishauwe kwa nini wakati ndo’ kashakuwa w_ngu?
ntazimaliza yasini mie kupendwa ndio jadi yangu

[pre_chorus]
akisikia joto (la_la_la), namuogesha (la_la_la)
namlaza mapajani (la_la_la), napepea vizuri
namrudisha utoto (la_la_la), namnyonyesha (la_la_la)
mkubwa ni kwenu nyinyi (la_la_la), kw_ngu hana kauli

[chorus]
kwa mapenzi moto, moto
fire_fire, fire_fire, eh (oh_oh)
fire_fire, fire_fire, eh (we ndo fire)
fire_fire, fire_fire, eh
my baby keep it burning
fire_fire, fire_fire, eh (oh_oh)
fire_fire, fire_fire, eh (ehh fire)
fire_fire, fire_fire, eh
[outro]
nishalia kadi ‘malize mchezo
amenipa jo_jo_joka (jamani jokali beberu)
amenipa jo_jo_joka (da! kanilambisha vitano)
amenipa jo_jo_joka (hata huruma hana)
amenipa jo_jo_joka

Random Lyrics

Hot Lyrics

Loading...