
zuchu feat. diamond platnumz - litawachoma كلمات أغنية
habibi lauzi kipenzi changu cha ngama
mimi na wewe hadi milele
komesha wachokozi wabaki kututazama
tuwatoe jasho la nywele
haa nimesikia habari
eti kuna mtu twamkera
oooh mwana akae tayari
maana bado movie hili litaenda
na usiku nik_mbate ((ni tete te)
ooh my babe boo (ni tete te)
kwa ghetto ning’ate ng’ate (ni tete te)
you know i love you
nikizidi ugomvi unichape (ni tete te)
silaha rungu (ni tete te)
kwenye joto nipepee (ni tete te)
mwendani w_ngu
penzi letu kwao fire
na litawachoma sana
mmmh! litawauma
na litawachoma sana
eh kwa roho mbaya zenu
na litawachoma sana
oooh na hatuwachani
na litawachoma sana
mmhhm ada! kinachotakasa nafsi
huba si sabuni
kw_ngu usiwe na wasi
nishaacha uhuni
ada! kama moyo jiko basi
we ndo w_ngu kuni
mapenzi soccer
nipe pasi nitie nyavuni
china wasikutishe
kwa jumbe zao za kata (kata)
mi ndio kamati kuu
hapa jimbo umepata (pata)
mahaba ni tashtiti
na baby unayajua
siwezi fanya ya shishi
uchebe kukubutua
waambie na ibilisi
watu wanajisumbua
ufupa kashindwa fisi
wao paka utawaua
dodo dodo
nimeokota dodo na mjani wake
nimeokota dodo
litayemkera ni shauri zake
simba nimelipata dodo
nimeokota dodo na mjani wake
oh mi mwenzenu toro
litayemkera ni shauri zake
na litawachoma
na litawachoma sana
mmmh! litawauma
na litawachoma sana
eh kwa roho mbaya zenu
na litawachoma sana
oooh na hatuwachani
na litawachoma sana
asa baby nichezeshe ngondo
ngondo, ngondo ingw_ngo!
ah tulicheze ngondo
ngondo, ngondo ingw_ngo!
eh timbwili timbwili tutimbwilike
ngondo, ngondo ingw_ngo!
oooh mpaka kupambazuke
ngondo, ngondo ingw_ngo!
ai ngondo!
(ayolizer)
wasafi
كلمات أغنية عشوائية
- julie roberts - nascar party كلمات أغنية
- gladys knight - and this is love كلمات أغنية
- company of thieves - king of dreams كلمات أغنية
- peter cetera - i wasn't the one (who said goodbye) كلمات أغنية
- heather nova - stop the fire كلمات أغنية
- peter furler - faster and louder كلمات أغنية
- warrant - what love can do كلمات أغنية
- kelly price - speechless كلمات أغنية
- joseph arthur - out on a limb كلمات أغنية
- the rangers - like i should كلمات أغنية