kalimah.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

yammi - nitadumu nae كلمات الأغنية

Loading...

[intro]
(aa_ah, ah_ah)
yammi, yammi
(oh, taabani)
(mafeeling make it)
(ah_ah)

[verse 1 : yammi & mbosso]
ah, ka’ kasoma veta, ye’ ni fundi wa mambo
atw_nga pepeta kwa vya juu viw_ngo
oh, raha naseleleka (selele) mahaba hayaishi bando
chumba ni hekaheka vita ya unyago na jando

[pre_chorus : yammi & mbosso]
oh_oh, yeye ndo amenilemaza kulala kwake kifuani
kutwa kunijaza jaza mi’ kajol yeye sha rukh khan
anipa mpaka nasaza sebuleni na chumbani
raha zimenipumbaza mie hoi taabani
magharibi natafuta sababu
bibi namtafuta babu
aniita ya qalbi majina ya kiarabu
twawachoma mahasidi kwa vinyimbo vya taarabu

[chorus : yammi & mbosso]
nitadumu nae kwa nguvu za manani
jaribuni baadae kwa sasa hapatikani
nitadumu nae kwa nguvu za manani
jaribuni baadae kwa sasa hapatikani
[verse 2 : yammi & mbosso]
(oh_oh), oh_oh (la_la_la), la_la_la (ah_ah), ah_ah
so dawa za china si mizizi ya congo (ya congo)
nampa mchai chai na supu ya kamongo (kamongo)
oh, full stamina anibeba kwa mugongo (mugongo)
mambo ya kwenye mtima sio kupendana kwa hongo (kwa hongo)

[pre_chorus : yammi & mbosso]
oh_oh, yeye ndo amenilemaza kulala kwake kifuani
kutwa kunijaza jaza mi’ kajol yeye sha rukh khan
anipa mpaka nasaza sebuleni na chumbani
raha zimenipumbaza mie hoi taabani
magharibi natafuta sababu
bibi namtafuta babu
aniita ya qalbi majina ya kiarabu
twawachoma mahasidi kwa vinyimbo vya taarabu

[chorus : yammi & mbosso]
nitadumu nae kwa nguvu za manani (nguvu za manani, nguvu)
jaribuni baadae (oh_oh), kwa sasa hapatikani (nimemuweka ndani)
poleni miungu watu mahodari wa kutabiri (nitadumu nae kwa nguvu za manani)
hatuachani katu roho zimeungana na miili (jaribuni baadae kwa sasa hapatikani)

[outro : yammi & mbosso]
anatembea na roho yangu, anatembea na mwili w_ngu
anatembea na pumzi zangu, mimi, mimi, mimi
kamix lizer

كلمات أغنية عشوائية

كلمات الأغاني الشهيرة

Loading...