whozu_ - vavayo lyrics
yesa man yesa yesa
badi
zombiee mmh!
shhhh!
yaani kama yangu
nitaipata hata mkiibana
(yaani kama yangu)
(nitaipata hata mkiibana)
aiii mama
k_mbe siku hizi wachawi sio wazee
(aiii mama)
(k_mbe siku hizi wachawi sio wazee)
nasema kama yangu
nitaipata hata wakiibana
(nasema kama yangu)
(nitaipata hata wakiibana)
aiii baba
naona wana mapepo tuyakemee
(aiii baba)
(naona wana mapepo tuyakemee)
mungu baba tusamehe tumelewa
hii dunia kuna watu wanaboa
mungu baba tusamehe tumekunywa
hii dunia kuna watu wanakera
shikilii papapapapapolipo
(shikilii papapapapapolipo)
kwani mi nikifanikiwa nini unapungukiwa
(kwani mi nikifanikiwa nini unapungukiwa)
shikilii papapapapapolipo
(shikilii papapapapapolipo)
wasiopenda mi nikifanikiwa wote mavavayo
vaa vavavavayo
wasiopenda we ukifanikiwa wote mavavayo
vaa vavavavayo
mhh eeh eeh eeh
yaani kama yangu nitaipata hata mkiibana
(kama yangu nitaipata hata mkiibana)
aiii mama k_mbe siku hizi wachawi sio wazee
(aiii mama k_mbe siku hizi wachawi sio wazee)
nasema kama yangu wataipata hata wakiibana
(kama yangu nitaipata hata mkiibana)
aiii baba naona wana mapepo tuyakemee
(aiii baba naona wana mapepo tuyakemee)
mungu baba tusamehe tumelewa
hii dunia kuna watu wanaboa
mungu baba tusamehe tumekunywa
hii dunia kuna watu wanakera
mhisu!
shikilii papapapapapolipo
(shikilii papapapapapolipo)
kwani mi nikifanikiwa nini unapungukiwa
kwani mi nikifanikiwa nini unapungukiwa
shikilii papapapapapolipo
(shikilii papapapapapolipo)
wasiopenda mimi kufanikiwa wote mavavayo
vaa vavavavayo
aii eeeeh!
uuu uuh uuh!
eeh!
wasiopenda wewe ukifanikiwa wote vavayo
vaa vavavavayo
eeeih ueh!
kamix laiser
كلمات أغنية عشوائية
- amir farjam - eshghe shirin lyrics
- wilson das neves - soberana lyrics
- mylo øriginal - wonka lyrics
- jessie j, ariana grande & nicki minaj - bang bang lyrics
- al-gear - streifzug lyrics
- frankie cosmos - dancing in the public eye lyrics
- kid $haman - show & tell lyrics
- natsu fuji - hello kitty pt. 2 lyrics
- moxy - turn it off lyrics
- johnny cash - christmas time's a-cominn' lyrics