![kalimah.top](https://kalimah.top/extra/logo.png)
vanessa mdee - hawajui lyrics
[intro]
nahreel wussup wussup wussup wussup
[chorus]
hamjui tu nyie
alichonifunza mama
na na ndiyo maana
hamuishi kutukana x2
[verse 1]
kila kitu majaliwa kupata nimebarikiwaga
nini tilalila usiku mchana unabwabwaja
kwako mi mpira unanicheza unavyotaka
kila siku beki leo kipa nimekudaka
[bridge]
we mwanadamu gani uliyekosa aibu
huenda kuna kosa nieleze kilichokusibu
huishi zogoa zogoa
kila siku zogoa zogoa
ukilala zogoa zogoa
[chorus]
hamjui tu nyie
alichonifunza mama
na na ndiyo maana
hamuishi kutukana x2
[verse 2]
choko choko ndiyo mambo mliozoea
kuweka vigenge na makundi mkiniongelea ah ah
eti naringa, nikishinda mnavimba, hamuishi kuniwinda
mungu ndiyo ananilinda
[bridge]
we mwanadamu gani uliyekosa aibu
kunisema kwa ubaya
na ukiapa kwa mungu
huishi zogoa zogoa
kila siku zogoa zogoa
ukilala zogoa zogoa
[chorus]
hamjui tu nyie
alichonifunza mama
na na ndiyo maana
hamuishi kutukana x2
[bridge]
we mwanadamu gani uliyekosa aibu
huenda kuna kosa nieleze kilichokusibu
huishi zogoa zogoa
kila siku zogoa zogoa
ukilala zogoa zogoa
[chorus]
hamjui tu nyie
alichonifunza mama
na na ndiyo maana
hamuishi kutukana x2
written by: elias barnaba, vanessa mdee, noel mkono
produced by: nahreel
كلمات أغنية عشوائية
- barren gates - king of the damned lyrics
- mats rådberg - vän på vägen (conwoy) lyrics
- boogie boys - do or die lyrics
- daniel adams-ray - förlorad halleluja lyrics
- kukon - nemezis lyrics
- addrenalin - strezzigt lyrics
- rumo - il maiale lyrics
- bleecker - i am lyrics
- מתי כספי - mi sheshar - מי ששר - matti caspi lyrics
- hélder marime - porquê é que me regeitas sempre? lyrics